Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 10,400
- 8,690
Ongea naye mwambie asipende kukufanya ATM.
Asante sana mkuuHuyo unamuendekeza mkuu, muda mwingine akiomba hela mwambie huna asubiri. Nenda naye kikauzu atapiga makelele mwisho atazoea tu, mwanamke sio wa kumuendekeza yan unaweza mtumia hela dakika hiyo hiyo naye akaanza kueleza shida nyingine hapo hapo!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna mke hapo brazaa!!thanks kwa ushauri mkuu, but huyu sio wa kuoa aisee, anapenda kufananisha maisha ya marafiki zake na yeye, so akisikia raafiki yake kapewa hiki na mpenzi wake, yeye anapanic lawama kwangu kama zote, than kwake kufanya kazi anaona hastahili, anastahili apewe kila kitu na mimi, ye ashinde amelala, while hata mama yangu mzazi mpaka leo anafight bado, then mtoto akiugua ananilalamikia kinoma as if anateseka na mtoto peke yake, kimbembe kinakuja nikimuuliza zile MILION 2 za mtaji mahesabu yako wapi, anasema kwanini naumizwa na hela iliyoliwa na yeyey na mwanangu, anasaema nikiulizia hela ni dalili kuwa simpendi, but makubaliano ya hela ilikuwa ni biashara faida tugawane sio ya kuila,
Kutunza mimba kuna gharama gani..?....halafu ujue naconsider pia nae kagharamika kidizain kutunza mimba mpaka kujifungua.
Alinitega ofcourse ni mzuri kidizain na kutokana na kuwa na lifestyle la kishua by then mimi nimechoka nikaona kama zali la mentali kumpata.
Yamenikuta mkuuHapa ndipo kosa lako lilipo, hiyo life style yake ilikuwa ni ishara tosha kujua utadeal na mtu wa aina gani, ulipaswa kujua hiyo classy life style ni real au fake. Hii ingekusaidia kujua kama huo ni mtego ambao huko mbeleni utahitajika kulipa au lah.
Wanaume tukipendwa na wanawake wakati mwingine tunakuwa vipofu na wajinga, tunafikiria ni zari tu, tujipe homework ya kuutafakari huo upendo.
"Hakuna kupendwa kirahisi rahisi tu"
Kuna mapenzi ya kweli kweli hapa?Huyu dada wala hapendi pesa sana wala nini. Ila hapendi kuliwa bure. Angependa pesa ungechunwa kipindi cha ujauzito maana hapo she had all the rights.
Wewe umerudisha majeshi hlf unataka dezo dezo. Anakujua na anakukomoa.
Pole sana mkuu, lakini yatapita, wewe ni mwanaume pambana.
There is always a price to pay in a loosy got. Do not react, act.
Anapambana kutengeneza mazingira nione ni jukumu langu kuhudumia ndugu zakeUNALISHA UKOO MZIMA KISA TU UMEZAA NA NDUGU YAO???!!!
WEWE NDIO PUNGUANI WA MAPUNGUANI.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimefahamiana nae miaka 9 iliyopita, wakati nafahamiana naye alikuwa na ugomvi na mchumba wake kuwa mchumba wake amezaa nje. Ni yeye alinipenda baada ya kuniona, ilikuwa kwenye social function fulani, mimi nilimuona but sikumuwazia kimapenzi wala kumuweka kichwani.
Baadae akapata mawasiliano yangu sababu kuna mtu nafahamiana naye alimpa namba zangu. Alinitega ofcourse ni mzuri kidizain na kutokana na kuwa na lifestyle la kishua by then mimi nimechoka nikaona kama zali la mentali kumpata. Nikiri wazi hajawahi kunipa hata elfu 1, but niliona zali kutokana na quality yake wakati huo hata kumiliki elfu 50 kwangu ni issue.
Sasa ikafika mahali akapata ujauzito wangu, hakutaka kuniambia but alijihudumia mwanzo mwisho mpaka siku anajifungua, niligundua mjamzito sababu nilikaa muda mrefu bila kuonana naye kutokana na nature ya majukumu yangu. Amehudumia mtoto kwa sehemu kubwa yeye.
Kuna kipindi nilijibana nikamtumia milioni mbili azifanyie biashara but mpaka leo sijapata faida hata mia, makubaliano ilikuwa tugawane faida, mtaji asiule, akakubali.
Suala ni kuwa huyu bidada amepanga mjini sasa hivi atleast ninajiweza kidogo, sema anataka nimgharamie mimi kila kitu, kodi ya nyumba, bili za umeme na maji, nimjengee, nimnunulie gari, akiugua nimtibishe, nisaidie ndugu zake n.k.
Mpaka sasa hivi nikigusia mtaji niliompa azungushe tunaanza ugomvi anasema kwanini naumizwa na hela alokula yeye na mwanangu, pia alipopanga ana ndugu zake kibao.
Nilikuwa nampenda sana zamani but nimemchoka kwa vizinga na ana maisha fulani classic anataka gharama nizilipe mimi.
Ushauri wenu wanakuu
Sent using Jamii Forums mobile app