Carlos The Jackal
JF-Expert Member
- Feb 6, 2017
- 29,163
- 93,420
Pole dada angu. Anakunyanyasa sababu huna chochote kwa sasa. Ni vema ukatafuta kwingine pa kuegemea. Kwa ndugu labda..Habarini wapendwa. Nina jambo linaniumiza sana naombeni ushauri. Ninaishi na mwanaume mwaka wa pili sasa unaenda. Naombeni msinihukumu kwanini naishi bila ndoa, nilipitia changamoto kubwa sn mpaka kufikia kukosa mahali pa kuishi huko nyuma kwahiyo kimbilio likawa kuishi na mpenzi wangu. Tatizo sikuhizi ananitukana sana matusi ya nguoni yani kosa dogo utasikia we mse*, we ni kum* tu, kum* la mamayako, we matak*, mbaya zaidi wakati mwingine ananitukana mbele za watu yani navumilia mpk nachoka sasa. Naombeni ushauri wa mawazo nifanyeje. Plz msinikejeli. Natamani sana kuondoka lakini kwasasa sina pa kwenda, nimemaliza chuo juzi nasubiri angalau nipate neema ya kazi ndo nitaweza kuondoka ila kwasasa nishaurini tu
Ulichoona wewe ni yeye kumaliza chuo na hujaona kingine. Mkuu stick kwenye mada. Kama hukusoma usimlaumu aliyesoma haya maisha kila mtu ana pa kutokea alipoandikiwa.Yaani humu kila mwana JF amemaliza Chuo Duuh hongereni
Siye wa shule ya Msingi Mburahati sijui tuandike wapi
Unataka kutuambia huna wazazi kabisaHabarini wapendwa. Nina jambo linaniumiza sana naombeni ushauri. Ninaishi na mwanaume mwaka wa pili sasa unaenda.
Naombeni msinihukumu kwanini naishi bila ndoa, nilipitia changamoto kubwa sn mpaka kufikia kukosa mahali pa kuishi huko nyuma kwahiyo kimbilio likawa kuishi na mpenzi wangu.
Tatizo sikuhizi ananitukana sana matusi ya nguoni. Yaani kosa dogo utasikia we mse*, wewe na mengine makubwa zaidi. Mbaya zaidi wakati mwingine ananitukana mbele za watu yani navumilia mpaka nachoka sasa.
Naombeni ushauri wa mawazo nifanyeje. Plz msinikejeli. Natamani sana kuondoka lakini kwasasa sina pa kwenda, nimemaliza chuo juzi nasubiri angalau nipate neema ya kazi ndo nitaweza kuondoka ila kwasasa nishaurini tu
Basi kama ni mlevi hao ndo zao....zaidi ya anayoyafanya sasa hivi we una mpango wa kuolewa na mlevi?Yes ni mlevi sn yani anakunywa sn pombe. Akilewa ndo nakesha natukanwa.
Mama kunywa supu na chapati mbili nitalipa!!Ulidondoka toka juu ya mti kwani?
Funguka usaidiwe mkuuNin
Ningekua na kwetu ningesharudi sikunyingi tu navyokwambia sina pa kwenda niamini ni vile tu siwezi kuweka wazi kilakitu humu
Yaan hana ndugu mjomba au kaka kwenda kubanana huko,ukute analalamika hivi huku anampenda kufwaaaMama kunywa supu na chapati mbili nitalipa!!