Mpenzi wangu ananitishia

Mpenzi wangu ananitishia

We nenda tu kwa huyo mganga wako kisha mganga anachanganya madesa alaf ww ndo unakua huamshi jogoo, ukimfata siku ya pili unaambiwa mganga kafariki.
 
We nenda tu kwa huyo mganga wako kisha mganga anachanganya madesa alaf ww ndo unakua huamshi jogoo, ukimfata siku ya pili unaambiwa mganga kafariki.
haamki wewe nan kasema hawez kuamka iyo no si ameanzisha lazima alinywe ndo nasubilia mwisho wake utakuwaje ..
 
haamki wewe nan kasema hawez kuamka iyo no si ameanzisha lazima alinywe ndo nasubilia mwisho wake utakuwaje ..
Nimeshindwa kuelewa ulicho andika hapo juu.. ila na assume umeandika "sawa sitoenda kwa mganga"
 
Nimeshindwa kuelewa ulicho andika hapo juu.. ila na assume umeandika "sawa sitoenda kwa mganga"
we mwenyewe nashangaa profile picture yako .

iyo unasadifu kuwa unaamin giza hata wewe
 
Kwanini mkeo amempa nafasi ya kuwasiliana nae? Jiulize kwanza mkeo anakosa gani kumkatibisha na kumpa uhuru na labda kasema mengi mabovu juu yako kwa huyo au labda kaomba omba na pesa juu kuwa ana shida
 
Kwanini mkeo amempa nafasi ya kuwasiliana nae? Jiulize kwanza mkeo anakosa gani kumkatibisha na kumpa uhuru na labda kasema mengi mabovu juu yako kwa huyo au labda kaomba omba na pesa juu kuwa ana shida
cc mzurmie .
tatizo kanitishia ndo namsubilia akianzisha tu mie namdumbukiza kwa shimo
 
we mwenyewe nashangaa profile picture yako .

iyo unasadifu kuwa unaamin giza hata wewe
Huyo ni heathen ledger marehemu, hana chochote kuhusiana na giza. Ukiamini giza umepotea ndugu yangu, fanya utafiti maisha ya watu wanao amini kwenye giza kisha njoo unipe feedback.
 
Huyo ni heathen ledger marehemu, hana chochote kuhusiana na giza. Ukiamini giza umepotea ndugu yangu, fanya utafiti maisha ya watu wanao amini kwenye giza kisha njoo unipe feedback.
feedback najua yote kuhusu maisha yao .

always they are under possesion of demons .
 
Mi sijamwelewa kaandika nini,hana koma,vituo wala alama zozote..au wenzangu mmeelewa?
 
Back
Top Bottom