Mpenzi wangu ananitishia

Mpenzi wangu ananitishia

Mbona unasound too boyish unawezage kuwa na uchawi...ulifunza na nani huo uchawi ewe mvulana?
hahaahahaha we mie sio mchaw ila najua mambo mengi unajua so had wataalam tunajuana nao so mie nilisema go ahed ...kama jesh money si unajua
 
nimemuuliza akasema alimfuata mara tatu so ikabid ampe ili amjibu so hayo ndo maneno ya baby ...ila yeye akawa msumbufu unajua tatizo sio kumtongoza ila kunitishia mim aiseee ..
Ooh hapo sawa mkuu nimekusoma ila usifanye maamuzi ukiwa na hasira.
 
Mta uwana bule jamani!!!!
we tutauwana mie hawez kuniuwa ...walishidwa sumbawanga mwalim mmoja hiv ila wengine aliwaweza wakafel na kuumwa .. so hana nguvu kwangu ila ntamuonyesha
 
Ooh hapo sawa mkuu nimekusoma ila usifanye maamuzi ukiwa na hasira.
ndio najua ila kunitishiaaaa ....uwa sipend so atalamba tuuuu i hate hata kama unamtaka ila sio ifikie unitishie mim imempendaa kisa anapendeza kwa ajili angu ... unajua ni nin sio watu wote ni wabaya ila wabaya ndo wanafanya wema wawe wabaya ...dunian
 
Kwa uandishi huu! Acha wife achukuliwe tu!
hivi unajua maumivi ya wife hata mchepuko ...kama umewah kutendwa na umpendae xaxa hapo ndo zaid so uandish ni sim na hasira leo silali
 
cc nyani ngabu every where upo inabid upewe uwe invisible .
 
  • Thanks
Reactions: irk
Ukiona hivo tayar wife kashapigwa muhuri wa dusheee so tulia jiulize unakosea wapi...
 
ukitaka kupambana na vitu kam hivo na ushinde hapo n MUNGU tu.
 
Back
Top Bottom