wasumu
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 2,420
- 2,214
- Thread starter
- #61
hahaahahaha we mie sio mchaw ila najua mambo mengi unajua so had wataalam tunajuana nao so mie nilisema go ahed ...kama jesh money si unajuaMbona unasound too boyish unawezage kuwa na uchawi...ulifunza na nani huo uchawi ewe mvulana?
hivi unajua maumivi ya wife hata mchepuko ...kama umewah kutendwa na umpendae xaxa hapo ndo zaid so uandish ni sim na hasira leo silali