Mr Chromium
JF-Expert Member
- Aug 20, 2020
- 2,088
- 2,705
Tumeanza kudate miezi mitatu imepta!! Mwanzo ilikua kawaida tunatafutana kwa siku mara moja jion au mara mbili kwa siku
Sasa bana kuanzia mwez 6 tabu ndipo ilipoanza
Ebu wenye experience ya relationship n kawaida au nmekutana na kimeo
Sasa bana kuanzia mwez 6 tabu ndipo ilipoanza
- Akipga simu hataki kumaliza maongezi
- Hata ukimwambia umechoka hakuelewi
- kila muda sim ,text ukipitaa lisaa utakuta miscall 7 msg 12 yaan unaeza jua NYUMBA INAUNGUA
- Ukimwambia tuongee baadae jion au usiku niko kazini bas itapta nusu saa anaanza kupga sim na matex
- Aisee yaan nakasirikaaaa mapenzi ya hivi sijawai kutana nayo na siyataki kwakweli
Ebu wenye experience ya relationship n kawaida au nmekutana na kimeo