Kipilipili
JF-Expert Member
- May 25, 2010
- 2,272
- 1,878
Upuuzi mtupu.yapo mambo ya msingi ya kujadili,co upuuz huu.akiachwa cc inatuhusu nini?
dah, kaa ukijua kwanza umepewa priority na heshima kubwa sana kupata nafasi ya mpenzi wako kukuamini na kukupa nafasi na ruhusa ya kipekee, kakuamini kuliko watu wengine wote hata wa jinsia yake, sasa we endelea kuchezea hiyo nafasi, utamboa huyo honey kwa hicho kidogo, mwisho wa siku yawe makubwa.Usisahau kwamba wapenzi wengi wanafeel proud wanaposikilizwa mambo madogo na wenzi wao, inapokuwa tofauti hujisikia kama hawana nafasi ndani ya mioyo ya wenzao. Tumia hiyo nafasi effectivelyJamani hapa mwenzenu pananipa wakati mgumu naomba msaada wenu mwenye uzoefu huu anisaidie.yani kila nywele zikikua ananiomba nimnyoe napiga chenga visingzio kibao mpaka anarekebisha mwenyewe ss icje nikakimbiwa kwa kutotimiza hayo.Ushauri tafadhari.
Hahahaha lolzKokudo bwanaUsifanye kama vile ni adhabu..Furahi kidogo basiPoa wadau nimewasoma wote ntaufanyia kazi mchango wenu.ntaanza kuinyoa dudu
Poa wadau nimewasoma wote ntaufanyia kazi mchango wenu.ntaanza kuinyoa dudu
mwache rafiki yako akusaidie kumnyoa hayo m.avuziJamani hapa mwenzenu pananipa wakati mgumu naomba msaada wenu mwenye uzoefu huu anisaidie.yani kila nywele zikikua ananiomba nimnyoe napiga chenga visingzio kibao mpaka anarekebisha mwenyewe ss icje nikakimbiwa kwa kutotimiza hayo.
Ushauri tafadhari.
chief! hiyo avatar ya huyo sokwe ina hamasisha mambo yetu yale ya 071......dah, kaa ukijua kwanza umepewa priority na heshima kubwa sana kupata nafasi ya mpenzi wako kukuamini na kukupa nafasi na ruhusa ya kipekee, kakuamini kuliko watu wengine wote hata wa jinsia yake, sasa we endelea kuchezea hiyo nafasi, utamboa huyo honey kwa hicho kidogo, mwisho wa siku yawe makubwa.Usisahau kwamba wapenzi wengi wanafeel proud wanaposikilizwa mambo madogo na wenzi wao, inapokuwa tofauti hujisikia kama hawana nafasi ndani ya mioyo ya wenzao. Tumia hiyo nafasi effectively
Ushauri wko mzuri lakini umejaa kashfa,matusi sasa cjui nachukua ushauri au matusi?Huyu nisakala wa dunia we ktk dunia ipo mash we upo magh hilo linakushinda mautundu ya kiwanjani si unaboa we kama dem inabidi ukazane kwel kubadilika maana unatia kichefchef ktk dunia ya malavidav
khaa! hebu BAK nisomee hapo juu kwa sauti!Careful eeh! usije ukaikata dudu...itakuwa tabu ....spares zake hazipatikani kabisa
Mmmhhhinatisha tena..Usijali ukizoea mtakuwa ma BFF.. hahaha lolzNimefurah sn afrodenzi make dudu inatisha kweli.