DJ SEPETU
JF-Expert Member
- Apr 17, 2017
- 8,413
- 12,338
- Thread starter
- #61
No kiongoz natamani kuacha ingawa tamuJamaa ana roho mbaya sana, anajifanya analalamika kumbe anaturingishia! Njemba zingine aiseee...!
Asante mkuu umenipa ushaur mzuriPole sana Ndugu,nimekuelewa unaogopa kumkatalia kwasabu atakuacha,chakukusaidia kaa nae muongee umshauri muache huo mchezo kwasabu una madhara makubwa,akikubali njoo humu huwa kuna Njia wanatoa za MTU kuacha huo mchezo tena za asili kabisa, pole sana
Post sent using JamiiForums mobile app
Imani yako imekuponyaNilishawahi kukutana na mwanamke anayecheza michezo hyo na akajarbu kunilazmisha kiukweli nilikataaa na nilimkimbia japo alikuwa ni mzur wa shape na sura
Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
hahahahahahah!Naomba no yake nimkanye
Nilishawahi kukutana na mwanamke anayecheza michezo hyo na akajarbu kunilazmisha kiukweli nilikataaa na nilimkimbia japo alikuwa ni mzur wa shape na sura
Sent from my TECNO-N8 using JamiiForums mobile app
Msaidie ndugu yako anapita geti Dogo bila nauli mkuuMmmh mie nilikuwa napita[emoji124]