Mpenzi wangu ananilazimisha kinyume Na maumbile

Mpenzi wangu ananilazimisha kinyume Na maumbile

Mbele umebikiri wewe na nyuma umebikiri wewe Dunia iko kasi sanaaaah
 
Yaani huwa mnaachana na kurudiana,

Huko anakoenda vipi unapajua vizuri,

Mkuu kuna watu washafukua huo mtaro,

Cha muhimu hapo chagua moja,

Either endeleza huo mchezo wa ufirauni na laana kwa maana mpige tu huo mfiro kwa sababu usipofanya hvyo waliomfundisha watamfukua tu maana hamna namna,

Au mpige chini uanze maisha mengine
Asante

Sent from my M910 using JamiiForums mobile app
 
Wanadamu wanapoacha kutumia fahamu zao...wanageuka na kuwa viumbe wa ajabu kuliko hata wanyama wa mwituni......

Kwa jinsi ulivyoiwasilisha hii mada ni kwamba kuwa na wewe ni muumini wa hayo mambo.....kinachokuuma sio wewe kupewa bali ni kwa kuwa haukuwa mtu wa kwanza kumfanyia hivyo kama ulivyofanya huko mbele.....

Kitu pekee ninachokuusia ni kuwa mkumbuke kuwa mnafanya kitu cha laana......na tendo hilo linawaweka mbali na Baraka za Mwenyezi Mungu mtukufu.....
 
Wanadamu wanapoacha kutumia fahamu zao...wanageuka na kuwa viumbe wa ajabu kuliko hata wanyama wa mwituni......

Kwa jinsi ulivyoiwasilisha hii mada ni kwamba kuwa na wewe ni muumini wa hayo mambo.....kinachokuuma sio wewe kupewa bali ni kwa kuwa haukuwa mtu wa kwanza kumfanyia hivyo kama ulivyofanya huko mbele.....

Kitu pekee ninachokuusia ni kuwa mkumbuke kuwa mnafanya kitu cha laana......na tendo hilo linawaweka mbali na Baraka za Mwenyezi Mungu mtukufu.....
Mtizamo wako

Sent from my M910 using JamiiForums mobile app
 
Unapenda mwenyewe na unapotisha kiswahili unajua maana ya kuradhimishwa wakati wewe hapo ungeweza kataa yakaisha
 
Back
Top Bottom