Mpenzi wangu ananilazimisha kinyume Na maumbile

Mpenzi wangu ananilazimisha kinyume Na maumbile

Kabla ya wewe kujiuliza hiyo tabia kaitoa wapi, jiulize wewe umeitoa wapi?

Mpaka ukafikia hatua ya kumuunga mkono!!!

LoRd JeSuS ChRiSt - The Creator Of All.
 
Unaweza ona ni kitu cha kawaida ila ukichukua muda na kutafakari vizur ni zito kwani tayar mshapendana.

Ila MPE athari za kula kinyume na maumbile then akitaka mgomee maana Tatar mnapendana hatakuacha ghafla.
 
mkuu muosha rungu rekebisha kichwa cha thread yako hakiendani na ulichokiandika wewe

sioni mazingira ya wewe kulazimishwa katika maelezo yako zaidi ya kuvtiwa na maklaio makubwa ya huyo mpenzi wako basi zaidi naona ni kama unatafuta justification ya dhambi unayoitenda we endelea tu then usubirie matokeo yake basi
 
dhambi mbaya, hutapata amani ya roho uzeeni kwako, ukiendekeza utakua muhuni na ukikosa ukimwi au gonno basi lazima dushee itaziba siku za usoni sababu ya kushambuliwa na bacteria.. ogopa sana utumbo mpana wa binadam mwenzio ni zaid ya choo.. jipe adhabu mapema kwa kujiepusha na ngono kwa sasa mpaka utakapo pata mwenzi wa halali wa ndoa itakusaidia kisaikolojia , mungu sio mjinga kutenganisha hizo parts.. to enjoy nature you have to obey it
Sasa siwez kumuacha huyu dada

Sent from my M910 using JamiiForums mobile app
 
nyie vijana nyie..... haya mambo hayakusaidii kitu.....kama kweli hupendi ungeacha kitambo, but kwa sbb unapenda umekuja kusherehekea hapa..... sicho ukifanyacho.....kama kweli unampenda mwambie muache......ni ushauri tuu...
Tuliamua kuacha ila atafanya hila hadi..


Sent from my M910 using JamiiForums mobile app
 
mkuu muosha rungu rekebisha kichwa cha thread yako hakiendani na ulichokiandika wewe

sioni mazingira ya wewe kulazimishwa katika maelezo yako zaidi ya kuvtiwa na maklaio makubwa ya huyo mpenzi wako basi zaidi naona ni kama unatafuta justification ya dhambi unayoitenda we endelea tu then usubirie matokeo yake basi
Nililazimisha kimazingira

Sent from my M910 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom