Duh yaishe mpendwa kila mtu na maamuzi yake ila siku hizi kupima sio hiyari yako ni lazima 😀😀😀
Habari wadau,
Mpenzi Wangu mpya ananikwepa Kila nikimwambia kuhusu kupima afya zetu .
Nitumie njia gani ili akubali kabla sijachukua maamuzi ya kuachana nae ???
Karibu kwa mjadala ........
Sent using Jamii Forums mobile app
Asa wakikuta umeathirika wanatumia njia gn kukupa majibu hali ya kuwa hujapima kwa hiari?Mkuu sio nyinyi wanawake siku hizi kila mtu akienda kutibiwa hospital ya serikali lazima upimwe ngoma utate usitake sasa nyie ambao amtaki kupima ipo siku utapima kiulaini tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hapo mkuu sijajua but mimi binafsi najiamini nipo powa ila nakumbuka ile siku kuna mdada nilikuwa nae dirishani kwenda kulipia kadi stori za hapa na pale yule dada akaniambia kuwa yeye alikuwa kicheche sana na baadhi ya jamaa zake wamefariki kwa huu ugonjwa basi alienda kulipia kadi baada ya hapo kwani nilimuona si alikimbia hahahaha, kupima si mchezoAsa wakikuta umeathirika wanatumia njia gn kukupa majibu hali ya kuwa hujapima kwa hiari?
😂😂😂 kupims sio jambo rahisi kwa kweli,ni zito kuliko hata uzito wenyeweKwa hapo mkuu sijajua but mimi binafsi najiamini nipo powa ila nakumbuka ile siku kuna mdada nilikuwa nae dirishani kwenda kulipia kadi stori za hapa na pale yule dada akaniambia kuwa yeye alikuwa kicheche sana na baadhi ya jamaa zake wamefariki kwa huu ugonjwa basi alienda kulipia kadi baada ya hapo kwani nilimuona si alikimbia hahahaha, kupima si mchezo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa ndio maana huwa wanatoa ushaur na saa kabla ya kupimakupims sio jambo rahisi kwa kweli,ni zito kuliko hata uzito wenyewe
SawaUnataka akapime ili ajijue afe kwa mawazo??? Heri hivyo alivyo asijijue ataishi miaka mingi...(kama anao) ila anaweza kua hana pia sema uoga mkuu sio kazi rahisi kusubiri majibu .....tumbo la kuhara linakuja ghafla si mchezo
Binafsi nimepima Mara 6 , sipimi tenaaa hata niambiwe kuna nini sipimi ng'o nimepona huko nyuma Mara paaap time hiyo naenda kuambiwa mama unao akuuuu
Nenda nae taratibu kupima hawaambiani tu kama wanavyoambiana sherehe inabidi ajiandae kisaikolojia kwanza
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni sh ngapi ??Nenda pharmach nunue kile kipimo kama kwenda Zahanati anaona ni aibu!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kitu kizuri kama ukweli
Mkalishe chini mwambie ni kwa faida yenu kwa faida yake pia ni muhim kupima na kujijua status za afya zenu zinawasaidia kuzidi kua makini
Mueleweshe atakuelewa ni woga tu unamsumbua au kuna sehem aliingia na mtu aliekua tayar ameupata
Akikataa bas akua utakachoona ni sahihi kwako.
Huyo gal NI mke mtarajiwaSasa unapima ili iweje? Mie ntapima na mke wangu tu ila sio vinginevyo.
Anakwepa kupima homa au maleria?Habari wadau,
Mpenzi Wangu mpya ananikwepa Kila nikimwambia kuhusu kupima afya zetu .
Nitumie njia gani ili akubali kabla sijachukua maamuzi ya kuachana nae ???
Karibu kwa mjadala ........
Sent using Jamii Forums mobile app