Mpenzi wangu anahamia Dodoma

Mpenzi wangu anahamia Dodoma

Lol! Huu undugu wa kushare mpaka dushe utakuwa undugu wa kisasa, nadhani unakumbuka wale twins wa Australia wanao share dushe. Hivyo hapajaharibika kitu ila uwe tayari kumpisha mwenye mali zake.

Undugu ni kufaana.
 
Lol! Huu undugu wa kushare mpaka dushe utakuwa undugu wa kisasa, nadhani unakumbuka wale twins wa Australia wanao share dushe. Hivyo hapajaharibika kitu ila uwe tayari kumpisha mwenye mali zake.
Inawezekana ikawa kiendacho kwa mganga hakirudi.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Sasa hapo ni mtafaruku nguo kuchanika, mwenye mali zake katinga MUJINI na mliwazaji kang'ang'ana hataki kuachia utamu. Hapo sokomoko la mbele kwa mbele mpaka apatikane bingwa.

Inawezekana ikawa kiendacho kwa mganga hakirudi.
 
Nakubaliana nawe 110% binadamu muache aende zake.

Kama mambo yote anayofanya binadamu yangekuwa yanawekwa hadharani kuna watu hata kuwatazama ungeshindwa.
 
Sasa hapo ni mtafaruku nguo kuchanika, mwenye mali zake katinga MUJINI na mliwazaji kang'ang'ana hataki kuachia utamu. Hapo sokomoko la mbele kwa mbele mpaka apatikane bingwa.
At your own risk, the decision is yours.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Of course the decision is yours, but when you're in L❤VE some times it is very difficult to make "the right decisions"
You can put your life at risk for real, no matter how careful you can try to be. Ukiwa na afya njema kwenye maisha shukuru, si ujanja.
 
unamuhurumia yeye tu! wewe hujihurumii?? maana iyo miezi mi 3 kuna pango kuna chakula kuna mavazi kuna na mengine mengi kadharika sasa hadi aje a' settle na utaitwa Mara moja moja! pole na wewe
 
kweleakwelea nizae? mi sina akili za Zari unazaa ukinunuliwa pampas unaona ndo matunzo. nisijeishia kuwa single parent bureee

Hauna aibu mwanamke wewe umri unaenda eti unamsema Zari nini??? Na litakujoa la kujuta unajitunza mumeo huyo..wewe ndio balaaa mvivu...nenda kajitegemeee tafuta zako za mume wa mtu zitakutokea puanim wivu umekujaaaa unamtaja Zari... Ungekuwa unapendwa hata sumni ya mwisho angekuambia ufatane nae. Kaa chini mvivu weye, na utalisoma jiji ulipo vizuri.. na kudakwa na mkewe.. umeona Zari kaiba mume wa mtu. Saka,zako eti siju mbili kwa wiki hizo tano anakochepukia kwingine ndio anapashikilia vizuri. Akikuita jua anataka unakompaga kwa tamaa zako kauze hata magazeti.. halafu usianze kujifanya unazo hauna..
 
Hauna aibu mwanamke wewe umri unaenda eti unamsema Zari nini??? Na litakujoa la kujuta unajitunza mumeo huyo..wewe ndio balaaa mvivu...nenda kajitegemeee tafuta zako za mume wa mtu zitakutokea puanim wivu umekujaaaa unamtaja Zari... Ungekuwa unapendwa hata sumni ya mwisho angekuambia ufatane nae. Kaa chini mvivu weye, na utalisoma jiji ulipo vizuri.. na kudakwa na mkewe.. umeona Zari kaiba mume wa mtu. Saka,zako eti siju mbili kwa wiki hizo tano anakochepukia kwingine ndio anapashikilia vizuri. Akikuita jua anataka unakompaga kwa tamaa zako kauze hata magazeti.. halafu usianze kujifanya unazo hauna..
Shoga yangu usiwe mkali ni mfano tu hata mie nampenda bosslady wetu wote. Hajatukanwa hivyooo. mzurimie
 
Sasa hapo ni mtafaruku nguo kuchanika, mwenye mali zake katinga MUJINI na mliwazaji kang'ang'ana hataki kuachia utamu. Hapo sokomoko la mbele kwa mbele mpaka apatikane bingwa.
Mkuu kumbe nawe upo vizuri..teh teh!
 
Hee asijekua mume wangu uyo maana yuko kny process za mwisho za uhamisho wa kwenda dodoma
haloooooooo! punguza wivu bibie kizuri kuls na nduguyo, wala usujari mama hakuna mwanamme was peke yako maana na wewe hakukuta bikra tuvumiliane
 
Back
Top Bottom