Hauna aibu mwanamke wewe umri unaenda eti unamsema Zari nini??? Na litakujoa la kujuta unajitunza mumeo huyo..wewe ndio balaaa mvivu...nenda kajitegemeee tafuta zako za mume wa mtu zitakutokea puanim wivu umekujaaaa unamtaja Zari... Ungekuwa unapendwa hata sumni ya mwisho angekuambia ufatane nae. Kaa chini mvivu weye, na utalisoma jiji ulipo vizuri.. na kudakwa na mkewe.. umeona Zari kaiba mume wa mtu. Saka,zako eti siju mbili kwa wiki hizo tano anakochepukia kwingine ndio anapashikilia vizuri. Akikuita jua anataka unakompaga kwa tamaa zako kauze hata magazeti.. halafu usianze kujifanya unazo hauna..