Mpenzi wangu anahamia Dodoma

Mpenzi wangu anahamia Dodoma

Ahsante mpenzi wangu, huto tu miezi tutatu ntavumilia tu mama usikonde. 🙂🙂🙂
 
Niko njia panda. Shemeji yenu mpenzi wangu ingawa ni mume wa mtu anahamia Dodoma kikazi. Nitakuwa mpweke sana. Anasema huko maisha yatakuwa magumu kwa miezi sio chini ya mitatu. Nimvumilie akiseto ataniita mara mojamoja. Masikini sijui ataweza? Keshazoea kutuliza moyo wake kila wiki mara moja au mbili. Sasa miezi mitatu si itakuwa balaa? Kila la kheri laazizi usafiri salama. Mimi nipo kwa ajili yako najitunza.
mmm....yaan mume wa mtu anakuuma hivyo...wewe ulipomtwaa hukujua unamuumiza mkewe? mwache akatwaliwe na wengine na wewe tafuta mzinzi mwenzako mwingine...usijisumbue kujitunza kinafiki
 
Niko njia panda. Shemeji yenu mpenzi wangu ingawa ni mume wa mtu anahamia Dodoma kikazi. Nitakuwa mpweke sana. Anasema huko maisha yatakuwa magumu kwa miezi sio chini ya mitatu. Nimvumilie akiseto ataniita mara mojamoja. Masikini sijui ataweza? Keshazoea kutuliza moyo wake kila wiki mara moja au mbili. Sasa miezi mitatu si itakuwa balaa? Kila la kheri laazizi usafiri salama. Mimi nipo kwa ajili yako najitunza.

Umemzalia au unajichekelesha tu?
 
mmm....yaan mume wa mtu anakuuma hivyo...wewe ulipomtwaa hukujua unamuumiza mkewe? mwache akatwaliwe na wengine na wewe tafuta mzinzi mwenzako mwingine...usijisumbue kujitunza kinafiki
Maneno yako mazito na yanachomaaaa!!!
 
Naona Salo umemtokomeza baharini sista kwa maneno ya kishujaa. HAPA KAZI TU
 
nashukuru umeelewa lengo langu, mjinga mjinga kama wewe

Wakati wenzi* wanasoma ukakimbia umande halafu unajiita mwerevu. Anayekusaidia gramma wamwita mjinga!! Kweli wajinga ndio waliwao.

... #elimubure #kuulizasiujinga #elimuyawatuwazima #umande #tusioneaibu

Beach (ufukwe wa bahari).
 
Njo huku nimejiunga kifulushi cha mwezi niku2mue kabla jamaa hajaludi
 
Mtoa mada ni bibi wa miaka 56 anayasema hayo, Je angekuwa binti wa miaka 20 angesemaje??
 
Wakati wenzi* wanasoma ukakimbia umande halafu unajiita mwerevu. Anayekusaidia gramma wamwita mjinga!! Kweli wajinga ndio waliwao.

... #elimubure #kuulizasiujinga #elimuyawatuwazima #umande #tusioneaibu

Beach (ufukwe wa bahari).
Hahaha bado hujamuelewa Peter soma tena ,kaitumia hiyo Beach makusudi kumwepushia Ban
 
Back
Top Bottom