Mpenzi wangu anahamia Dodoma

Mpenzi wangu anahamia Dodoma

Mpendwa wangu Sista, una uhakika jamaa anahamia Dodoma kweli!! Are you not smelling any rat?? Dizaini jamaa labda kaja na single ya kuhamia Dom kwasababu ndio wimbo unao hit sasa hivi ili akupige chini kiutu uzima bila maumivu. Tena kakuandaa kabisa kuwa miezi mitatu ya mwanzo itakuwa bila bila akiamini kuwa muda huo unatosha wewe kuzoea kuwa mbali naye...Huyo atakuachia vumbi tu huku nyuma.

Sikutishi bibie ila nashauri uje utupe mrejesho hapa baada ya hiyo miezi 3. Unaweza kuja kunipa head up huko pm pia. Ha ha haah.
 
Mpendwa wangu Sista, una uhakika jamaa anahamia Dodoma kweli!! Are you not smelling any rat?? Dizaini jamaa labda kaja na single ya kuhamia Dom kwasababu ndio wimbo unao hit sasa hivi ili akupige chini kiutu uzima bila maumivu. Tena kakuandaa kabisa kuwa miezi mitatu ya mwanzo itakuwa bila bila akiamini kuwa muda huo unatosha wewe kuzoea kuwa mbali naye...Huyo atakuachia vumbi tu huku nyuma.

Sikutishi bibie ila nashauri uje utupe mrejesho hapa baada ya hiyo miezi 3. Unaweza kuja kunipa head up huko pm pia. Ha ha haah.
muongozaji nitafanyia uchunguzi hili jambo
 
Mpendwa wangu Sista, una uhakika jamaa anahamia Dodoma kweli!! Are you not smelling any rat?? Dizaini jamaa labda kaja na single ya kuhamia Dom kwasababu ndio wimbo unao hit sasa hivi ili akupige chini kiutu uzima bila maumivu. Tena kakuandaa kabisa kuwa miezi mitatu ya mwanzo itakuwa bila bila akiamini kuwa muda huo unatosha wewe kuzoea kuwa mbali naye...Huyo atakuachia vumbi tu huku nyuma.

Sikutishi bibie ila nashauri uje utupe mrejesho hapa baada ya hiyo miezi 3. Unaweza kuja kunipa head up huko pm pia. Ha ha haah.
Hili nalo jambo...
 
Samahani sista hivi uko serious kweli au masihara...kwani huna Boyfriend? maana ummiss kwa lipi wakati yule akiwa kwako ndio wa kwako na huko dom atahama na familia yake patam hapo na dom ndogo sio kama dar ukithubutu kwenda tu huko ukadhani ni kama dar maficho mengi...imekula kwako utatolewa busha la kike...mi simoooo
 
Kulingana na hali ilivyongumu kwa watumishi wa umma basi tutegemeee michepuko mingi hasa hasa dar itaachwa ili kubana matumizi , kisingizio kitakuwa ni kuhamia dodoma ila kumbe Mtu mzima katulia jijini ila hali ya uchumi ndo shiidah!!!!
 
KWAKUWA NI MUME WA MTU SUBIRI MKEWE AKUDAKE AKUWEKEE WATU 6 WAKIHARIBU KITUMBUA CHAKO
 
Na wale business women wanavyojua kuhamia kwa kasi...
Pole mamii, huo upweke ndio gharama ya mabadiliko.
Teh teh...tatizo Sista anaogopa kukatiwa "huduma" ghafla. Hajui kuwa jamaa hela imekata, hapo kapewa "signal" lakini bahati mbaya haelewi nini kinaendelea.

Kwani Sista hukuwa na plan B, jiji la Dar wadada huwa na plan A hadi E.
 
Uko wapi kwani!?? Mbona Dom ni to and fro..
Unamchemshia mchemsho unafika wamoto kabisa.

Au upo Kagera.?!!
 
Back
Top Bottom