Mpenzi wangu anahamia Dodoma

Mpenzi wangu anahamia Dodoma

Wakati wenzi* wanasoma ukakimbia umande halafu unajiita mwerevu. Anayekusaidia gramma wamwita mjinga!! Kweli wajinga ndio waliwao.

... #elimubure #kuulizasiujinga #elimuyawatuwazima #umande #tusioneaibu

Beach (ufukwe wa bahari).
habari unayo, kashakufunuafunua na ndo huyo anasepa zake, broke bitch
 
Kwa kweli nikiona hizi comment nafarijika sana kuwa mwanaume am almost a superstar cause wanawake wanatupapatikia sanaaa obvious ni mali hadimu sisi (wengi wetu) inanipa peace of mind.
 
sista ndo maana siku hizi sikusomi kumbe una stress dear mchepuko anahama teh pole
 
kweleakwelea nizae? mi sina akili za Zari unazaa ukinunuliwa pampas unaona ndo matunzo. nisijeishia kuwa single parent bureee
Bora hata zari ana uhakika diamond hata akienda ulaya ana uhakika na mawasiliano na anarudi, wewe mchepuko anaenda hapo tu dodoma unawaza ha ha ha ha ha
 
Sista , walau umeweza kuwa na ujasiri wa kumtambulisha shemeji kwa ukamilifu ''Shemeji yenu mpenzi wangu ingawa ni mume wa mtu''.
Hii safari ya serikali kuhamia Dodoma itafunga na kufungua fursa nyingi sana.
 
Niko njia panda. Shemeji yenu mpenzi wangu ingawa ni mume wa mtu anahamia Dodoma kikazi. Nitakuwa mpweke sana.
Kumbe hii thread umeanzisha wewe?
Pole mpenzi.
 
Bahati nzuri nami narudi Dar, "tunabadilishana" Mwisho wa upweke!
 
Pole sista..Ukiwa bored sana unaweza kunitafuta tusogeze siku..Na kama unahitaji ndoa naweza kukupa ofa
 
Back
Top Bottom