Apologise lady
JF-Expert Member
- Sep 16, 2013
- 5,980
- 3,115
nikuulize we unayeikatikiaga kila siku
Wew unajuaje kama mim mwanaume au mwanamke, iumekariri Id eee??
nikuulize we unayeikatikiaga kila siku
Hilo nalo ni nenoHuyo mwenye wivu ndio mwizi mzuri inaonekana anakusaliti
hebu na wewe fanya uchunguzi
anadai me ni wanne kwake
Hilo sasa ndio tatizo....alishatendwa na wengine 3 ndio maana anaishi na wewe kwa wasiwasi.....nenda naye polepole na ujitahidi kumuaminisha kwamba upo tofauti na hao waliotangulia....kumuaminisha na si kumuelewesha.....kwa kuanza tu achana na hivyo vimeo vyako viwili....kumbuka huyu alishatendwa...so kosa moja tu mtamwagana.....so jombaa kama umeona ni msichana unayeweza kuwa na future naye anza kubadili tabia yako.....wewe ukiwa kwenye mstari hutoona tatizo mtu anapokuwa na wivu nawe...ila kwasasa lazima uone kuwa hilo ni tatizo kwakua humchafu.
huwezi ukawa mwanaume,we mrembo tu
mkuu ye kuachwa hajawahi anavosema na hajui maumivu ya kuachwa pia hajui kwa nini ananipenda sometimes kuliko hata mama ake
nishawah muuliza kama ana wivu akasema ndio
mbona simpi wala sionyeshi sababu zozote
kwa hzo dakika ninakuwa tayari nshatoa wazungu
Habari wakuu:
Katika kipindi cha mahusiano nilichopitia sijawah kuwa na msichana mwenye wivu kama huyo wa sasa.Tumekuwa pamoja kwa mda mrefu kidogo lakini ana wivu wa kupitiliza.
Anatumiaga namba za marafiki zake kunipima kama nina mpenzi mwingine lakini huwa nagundua ni yey ananijaribu so namjibu as yupo yeye tu.
Pia anavuka mipaka hadi anamuliza rafiki yangu wa karibu kama nina mpenzi mwingine hujibiwa ni yeye tu japo ninao wengine kama wawili wa kuzugia coz ye anaonyesha ana future na mimi.
Je huo ni upendo wa dhati au?maana kitandani nampaga doze ya kueleweka hadi 9 siku zingine toka asubuhu hadi jioni.
Nimecheka sn? ss hilo swali gani kumuuliza mpenzi wako kama anawivu na ww!wivu n lazima km hakuonei wivu basi akupendi,yupo anaemuonea wivu.