Mpenzi wangu ana wivu sana

Mpenzi wangu ana wivu sana

si kweli, huyu kijana kampa bint sababu za kua na wivu... wanawake wanauwezo mkubwa wa kuhic kama vitu haviend sawa ko nnavyoona mie nyam ni kwamba boli dada anatafuta evidence tu ili apate uhakika...

mbona simpi wala sionyeshi sababu zozote
 
lazima kuna kitu kaona au kambiwa au kahisi... yan yy sio mwehu aanze kuhangaika na ww ivo.

au pengine anakufaham fika tabia yako hiyo

toko mbali mbali mkuu na hafahamu tabia yangu yoyote anajua yuko peke ake cz namjali na namfanya aenjoy kuwa na mimi
 
haya.. but kwa ushaur baki njia kuu utampoteza huyo dada kama ni kweli una future nae devote ur time to her na kila kitu msaidie ili aweze overcome jealousy maana nae inamuumiza kua hivo coz ts seems hakuamini...

mkuu kukutana nae hadi ipite miez kadhaa,sasa me nitapunguzia wap!kwan hawez jua kama namsaliti kwa ninavyomfanyia
 
Duuh..Mkuu bao 9??..we utakuwa unahesabu hadi mkojo

Hahaha. Ukute anahesabu strokes huyu jamaa.

Kwanza anatubeba tu hapa. Kasema anaona kama manzi hana future na yeye, ndiyo maana ana kazi za pembeni, halafu bado anatuuliza kama huyo manzi ana upendo wa kweli. Hii story yote utakuta ni cover-up ya promo tu.
 
Hahaha. Ukute anahesabu strokes huyu jamaa.

Kwanza anatubeba tu hapa. Kasema anaona kama manzi hana future na yeye, ndiyo maana ana kazi za pembeni, halafu bado anatuuliza kama huyo manzi ana upendo wa kweli. Hii story yote utakuta ni cover-up ya promo tu.

Teh teh..Kweli aisee..Halafu hawa watu wanaopiga bao tisa mi hata sielewi..Watu wengine tukipiga 3 tu mtu anaomba pooo..Hizi tisa inakuwaje chief
 
Ukiona mtu ana wivu sana na kukufuatilia sana, jua hatimizi wajibu wake vizuri ivo anawasiwasi.


hamna best hyo kitu ni kama kaugonjwa flan hivii, watu wenye wivu kama mimi huwa ni kupenda kupitiliza ndo tatizo kubwa ambalo watu hawalijui,

mi naweza muonea wivu mtu hata akiwa amelala nikamfunua uso nikamcheki kama ndo tumekutana nikamkumbatia kwa bashasha na mabusu hadi anashangaa wewe vipi unataka ninii?? kumbe wala nna upendo mlipuko kuna saa unakuja gafla tu
 
hamna best hyo kitu ni kama kaugonjwa flan hivii, watu wenye wivu kama mimi huwa ni kupenda kupitiliza ndo tatizo kubwa ambalo watu hawalijui,

mi naweza muonea wivu mtu hata akiwa amelala nikamfunua uso nikamcheki kama ndo tumekutana nikamkumbatia kwa bashasha na mabusu hadi anashangaa wewe vipi unataka ninii?? kumbe wala nna upendo mlipuko kuna saa unakuja gafla tu

Kuna wivu na ujinga, wivu kila mtu anao kwa ampendae, ila kumfuatilia mtu hadi anajihisi kukosa uhuru wake ni ujinga.

Ukifanya utafita utagundua wanawake wengi wanaombana sana mwanaume ndio ambao wanaume zao wanatoka sana nje, ukiwauliza sana wanaume wa hvi wengi husema wanachoshwa na mambo ya wake zao ya kuwabana sana na kujisahu kutimiza wajibu wao.
 
yote yanawezekana ila mkae muongee sababu kutumia namba za rafiki zake ili aone kama unamcheat sio ishu

so ipu mkuu na ameshafanya ivo zaid ya mara 1 ila huwa nagundua ni yeye so anabaki kujiamin yupo yeye tu
 
Back
Top Bottom