Mpenzi wangu ana wivu sana

Mpenzi wangu ana wivu sana

Habari wakuu:

Katika kipindi cha mahusiano nilichopitia sijawah kuwa na msichana mwenye wivu kama huyo wa sasa.Tumekuwa pamoja kwa mda mrefu kidogo lakini ana wivu wa kupitiliza.

Anatumiaga namba za marafiki zake kunipima kama nina mpenzi mwingine lakini huwa nagundua ni yey ananijaribu so namjibu as yupo yeye tu.

Pia anavuka mipaka hadi anamuliza rafiki yangu wa karibu kama nina mpenzi mwingine hujibiwa ni yeye tu japo ninao wengine kama wawili wa kuzugia coz ye anaonyesha ana future na mimi.

Je huo ni upendo wa dhati au?maana kitandani nampaga doze ya kueleweka hadi 9 siku zingine toka asubuhu hadi jioni.

TANGAZO:
kuanzia leo, waleta mada wote wanaokuja kuomba ushauri hapa, wanatakiwa kutimiza sharti hili : KUTAJA UMRI WAKO NDIPO UENDELEE NA MADA HUSIKA!
Asante!
 
Kwa post na comment zako naona bado kama hujakua kiakili....mtu anakwambia anakupenda kuliko mama yake...hajawahi kuachwa...inajenga nini kwa mahusiano yako?...ok kujisifu kuwa una...mpk 9 ilikuwa na uhusiano gani na wivu wa mpz wako?kuna mambo mengine sio muhimu watu kuyajua then ndoa ina changamoto nyingi inahitaji mtu committed na aliyekuwa kiakili so wivu ni just minor case kukuumiza kichwa mpk kuja kuripoti hapa..angali wanaume wenzako wangefunguka changamoto walizopitia na jinsi walivyosolve ungekaa kimya...then kama una future na mtu kwa nini uwe na vimeo pembeni..huoni kuwa hiyo ni moja
ya sababu kuu ya wivu wa mpz wako?ninachoona kuna mazingira yanayofanya mpz wako asikuamini na ndo maana anakuwa na wivu mwingi juu yako...so jaribu kubadilika na kumpenda bila kugawa upendo wako.

mkuu tatizo nilivoanza nae nilipanga ku hit&run
 
Kwa taarifa yako anahisia sahihi kuwa wewe si mwaminifu but hajui exactly kuwa uko na nani. Nashukuru umekiri mwenyewe kuwa wewe ni fisi. Huwezi kumdanganya mwanamke asihisi kitu, hawa ni viumbe wa ajabu sana, mbali na hisia wanapenda kuunganisha nukta hadi wanapata kitu kizima bila ww kujua. Kaa ukijua hilo

mkuu ni ngum sana kujua kama namsaliti,najua kupretend
 
TANGAZO:
kuanzia leo, waleta mada wote wanaokuja kuomba ushauri hapa, wanatakiwa kutimiza sharti hili : KUTAJA UMRI WAKO NDIPO UENDELEE NA MADA HUSIKA!
Asante!

me ni mkubwa mkuu
 
Nimecheka sn? ss hilo swali gani kumuuliza mpenzi wako kama anawivu na ww!wivu n lazima km hakuonei wivu basi akupendi,yupo anaemuonea wivu.

so wivu ni kipimo cha upendo?
 
Shukuru MUNGU! Hiyo hali ninayo mimi,, ni hivi hata kama hujanipa chochote huwa na muwazaga sana soul wangu na ukiona nimeacha kukufatilia nyendo zako ujue kuna anae fatilia nyendo zangu kwa kunitaka kimapenzi hivo naanza kukusahau taratibu so uckate tamaa endelea nae ndivo tulivo.

wanawake mna matatizo
 
Goli tisa?

Umekua kuku?, hongera.

Isiwe magori tu,yawe ya maana ambayo yanamfurahisha.

Ukikutana nae tena mpige team, first eleven na kocha.

nilitaka nipige kumi mkuu akawa analia hatak hata kuiona
 
Back
Top Bottom