Mpenzi wangu ana wivu sana

Mpenzi wangu ana wivu sana

Hivi ni kweri mtu unaweza kupiga bao 9 kwa cku moja na demu mana kadiri ngwee znavyosonga ndo bao linazidi kuwa la kuchelewa na hile kukinai kwa ongezeka yaan kwa mm aisee nimejitahidi lbda tatu mana hilo la pili lenyewe sometime cmalizii demu anaomba tupumzke na akipumzika huo usingizi anaolala akikulupuka hapo ata umwambi tumalizie hataki tena na nasema hvyo nimejiribu hta kwa malaya na kuhaidi dau mara 2 ndo hapo nimefikia tatu lkn mkimaliza hpo atak tena hata uumpe nn ss huyo demu wako unampiga 9
Aisee SALUTI na saluti sio kwako SALUTI kwa huyo demu wako usimuache huyo mana nikimpata km mm wakat ww huo wivu unaona kero mm kwangu ingekuwa raha nikifikilia tu hzo bao 9 anazovumilia

mkuu anaweza mambo
 
Huyo mwanamke hata kama utakomaa ili umuoe maisha yenu yatakuwa na misukosuko.. Hayatapata maendeleo ya kweli, maana wewe utampa hoja ya kusafiri kikazi, au lolote lile la maendeleo.. Yeye atakuletea srory za mapenzi mda wote, kwa kigezo kuwa anakupenda, tena nakusihi saana uwe makini kama huna mpango nae.. Au una mpango nae.. Uwe makini usimpe mimba.. Maana utakuwa umeongeza shida mpya.. Kama tanzania tulivo na shida ya kiondoa ccm.. Alafu tuongeze kumuweka makufuli pale magogoni.. Nakuhakikishia.. Utaja kumbuka usia wangu kwako. Mpe mda zaidi pia mshauri akuamini, na kuwa hupendi kama hawezi kukuelewa.. Hata mkiishi net1 tatzo litakua na umri zaidi.
 
Huyo mwanamke hata kama utakomaa ili umuoe maisha yenu yatakuwa na misukosuko.. Hayatapata maendeleo ya kweli, maana wewe utampa hoja ya kusafiri kikazi, au lolote lile la maendeleo.. Yeye atakuletea srory za mapenzi mda wote, kwa kigezo kuwa anakupenda, tena nakusihi saana uwe makini kama huna mpango nae.. Au una mpango nae.. Uwe makini usimpe mimba.. Maana utakuwa umeongeza shida mpya.. Kama tanzania tulivo na shida ya kiondoa ccm.. Alafu tuongeze kumuweka makufuli pale magogoni.. Nakuhakikishia.. Utaja kumbuka usia wangu kwako. Mpe mda zaidi pia mshauri akuamini, na kuwa hupendi kama hawezi kukuelewa.. Hata mkiishi net1 tatzo litakua na umri zaidi.

mkuu kweli wew ni G.T,kula like 100000000000
ushauri wako naanza kufanyia kazi nw
 
Back
Top Bottom