aaah unaaibisha mkuu we ni mnyama adi ushindwe kujizuia bhana.....
ila kuna kitu nime note hapa bado upo kwenye teens ndo kinachokusumbua au humpend bint wa watu...
hamna mkuu # kwichkwich natumia dk 20-25 kwa bao la kwanza
Hahaha. Ukute anahesabu strokes huyu jamaa.
Kwanza anatubeba tu hapa. Kasema anaona kama manzi hana future na yeye, ndiyo maana ana kazi za pembeni, halafu bado anatuuliza kama huyo manzi ana upendo wa kweli. Hii story yote utakuta ni cover-up ya promo tu.
Teh teh..Kweli aisee..Halafu hawa watu wanaopiga bao tisa mi hata sielewi..Watu wengine tukipiga 3 tu mtu anaomba pooo..Hizi tisa inakuwaje chief
hamna best hyo kitu ni kama kaugonjwa flan hivii, watu wenye wivu kama mimi huwa ni kupenda kupitiliza ndo tatizo kubwa ambalo watu hawalijui,
mi naweza muonea wivu mtu hata akiwa amelala nikamfunua uso nikamcheki kama ndo tumekutana nikamkumbatia kwa bashasha na mabusu hadi anashangaa wewe vipi unataka ninii?? kumbe wala nna upendo mlipuko kuna saa unakuja gafla tu
Kuna wivu na ujinga, wivu kila mtu anao kwa ampendae, ila kumfuatilia mtu hadi anajihisi kukosa uhuru wake ni ujinga.
Ukifanya utafita utagundua wanawake wengi wanaombana sana mwanaume ndio ambao wanaume zao wanatoka sana nje, ukiwauliza sana wanaume wa hvi wengi husema wanachoshwa na mambo ya wake zao ya kuwabana sana na kujisahu kutimiza wajibu wao.
wanawake weng ndo mpo ivo,sijui mna matatizo gani!
kila la herime naona hana imani na mimi
maana kitandani nampaga doze ya kueleweka hadi 9 siku zingine toka asubuhu hadi jioni.
haya.. but kwa ushaur baki njia kuu utampoteza huyo dada kama ni kweli una future nae devote ur time to her na kila kitu msaidie ili aweze overcome jealousy maana nae inamuumiza kua hivo coz ts seems hakuamini...
so wewe unaona kawaida au?
Habari wakuu:
Katika kipindi cha mahusiano nilichopitia sijawah kuwa na msichana mwenye wivu kama huyo wa sasa.Tumekuwa pamoja kwa mda mrefu kidogo lakini ana wivu wa kupitiliza.
Anatumiaga namba za marafiki zake kunipima kama nina mpenzi mwingine lakini huwa nagundua ni yey ananijaribu so namjibu as yupo yeye tu.
Pia anavuka mipaka hadi anamuliza rafiki yangu wa karibu kama nina mpenzi mwingine hujibiwa ni yeye tu japo ninao wengine kama wawili wa kuzugia coz ye anaonyesha ana future na mimi.
Je huo ni upendo wa dhati au?maana kitandani nampaga doze ya kueleweka hadi 9 siku zingine toka asubuhu hadi jioni.