xfactor
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 1,511
- 1,290
Kumhandle vibaya mpenzi wako ni upuuzi mara 100 ndo maana anatukumbuka ma X wake. Usilielie hapa umeharibu mwenyewe acha tukusaidie.
Kwanini kawa X kama alikuwa ana muhandle vizuri? Mpaka anaenda kwa X ina maana hajui nini atakacho.Mkuu unahitaji uangalie filosofi zako kwa jicho la tatu