Mpenzi wangu ana kiburi

Mpenzi wangu ana kiburi

atakwambia? we jiaminishe tu!!

Hahahaaa nilitegemea kuna mtu atakuja kuuliza swali kama hilo.

Mkuu unless awe anatumia mbinu za Alcaida kufanya mawasiliano lakini kama anatumia ICT kufanya mawasiliano basi I can monitor each and everything.kwahiyo nina uhakika sio kama najiaminisha mkuu
 
Haag miye nilijuaga we ke mmmmhh hilo jina!!
 
Habari wana JF MMU.

Nina girlfriend wangu takribani mwaka na miezi kadhaa niko naye.

Tatizo kubwa alilo nalo ni kiburi ambacho tangu niyajue mapenzi sijawahi kuona,hanisikilizi kwa chochote kile.

Kwa muda wote huo nimemvumilia sana na kwa upole wangu na busara nilizotumia kumrekebisha nilidhani angebadilika lakini wapi.

Nilishamuonya sana swala hili na yeye kuwasiliana na X wake akasema ataacha but still naona anaendelea ingawa siyo mawasiliano mabaya lakini ninahisi watazoeana tena na kuanza kukumbushia waliyokuwa wanafanya.

Hivi ni lazima uwe na mawasiliano na X wako?

Nahisi moyo wangu umeanza kukata tamaa juu yake.

inawezekana humgegedi vizuri kama ilivyokuwa X wake
 
kuwasiliana sana na x wake kutaleta majanga zaid.... kama kiburi kimeanza hivi karibuni ujue huyo X wake anajaribu kufanya mapinduzi.... na kuto kukusikiliza kwa huyo bi mdada ni dhahiri kunaonesha kwamba jamaa anakuzid point...
chakufanya ni kuwa mkali juu ya huyo girl wako tena uwe mbogo haswa.... mwambie kama matapishi matamu basi aanze safari mapema sio kupotezeana muda...
I HAD THIS SITUATION ....niliitibu na ikaenda poa...
 
kuwasiliana sana na x wake kutaleta majanga zaid.... kama kiburi kimeanza hivi karibuni ujue huyo X wake anajaribu kufanya mapinduzi.... na kuto kukusikiliza kwa huyo bi mdada ni dhahiri kunaonesha kwamba jamaa anakuzid point...
chakufanya ni kuwa mkali juu ya huyo girl wako tena uwe mbogo haswa.... mwambie kama matapishi matamu basi aanze safari mapema sio kupotezeana muda...
I HAD THIS SITUATION ....niliitibu na ikaenda poa...

Asante mkuu
 
Habari wana JF MMU.

Nina girlfriend wangu takribani mwaka na miezi kadhaa niko naye.

Tatizo kubwa alilo nalo ni kiburi ambacho tangu niyajue mapenzi sijawahi kuona,hanisikilizi kwa chochote kile.

Kwa muda wote huo nimemvumilia sana na kwa upole wangu na busara nilizotumia kumrekebisha nilidhani angebadilika lakini wapi.

Nilishamuonya sana swala hili na yeye kuwasiliana na X wake akasema ataacha but still naona anaendelea ingawa siyo mawasiliano mabaya lakini ninahisi watazoeana tena na kuanza kukumbushia waliyokuwa wanafanya.

Hivi ni lazima uwe na mawasiliano na X wako?

Nahisi moyo wangu umeanza kukata tamaa juu yake.
Kuwasiliana na X wake si kiburi bali ni mapenzi!
Tafuta mwanamke mwingine!
 
Ila mademu wa wa kinyaki jaman ni tatizo hasa hao mnao sema wa kyela,noma umalaya kibur,na mambo mengne ni tatzo kwani mim mwenyewe nilijua wanaonea bt rght now nipo na uzoef wa miaka 7,is realy an isue .ni wazur kwa muonekno bt uhm tabia labda wanafaa kuwa wapenz tu bt not wives...kma upo hapa badrken hio ai msimamo ni ktojitambua tu
 
ila me unajiitaje mayonaise? Ndo maana ke anakudharau.
 
Mkuu acha kulalaamika, endelea kumgegeda huku unatafuta mwingine. Ukishampata unayemuona anakufaa, piga chini. Ila unatakiwa uwe fasta la sivyo utaachwa wewe. Halafu punguza kulalamika kijana, usimuonye tena
 
Habari wana JF MMU.

Nina girlfriend wangu takribani mwaka na miezi kadhaa niko naye.

Tatizo kubwa alilo nalo ni kiburi ambacho tangu niyajue mapenzi sijawahi kuona,hanisikilizi kwa chochote kile.

Kwa muda wote huo nimemvumilia sana na kwa upole wangu na busara nilizotumia kumrekebisha nilidhani angebadilika lakini wapi.

Nilishamuonya sana swala hili na yeye kuwasiliana na X wake akasema ataacha but still naona anaendelea ingawa siyo mawasiliano mabaya lakini ninahisi watazoeana tena na kuanza kukumbushia waliyokuwa wanafanya.

Hivi ni lazima uwe na mawasiliano na X wako?

Nahisi moyo wangu umeanza kukata tamaa juu yake.

Mkuu unajua mayonnaise ni nini
 
Mkuu hawa wanawake ni kwere erooo, wanaweza kujenga image kwa marafiki kuwa their nice ila katika normal communication ikawa ni gubu tu full time, yaani ni kero kero kero keirrro!!!
Kila akipiga simu ni lawama usipo pokea atauliza why, ukichelewa kupokea pia atauliza, ila yeye akifanya vyote hivyo sio tatizo
 
Tupa kuleee
maisha yenyewe mafupi nini kupata presha ya kujitakia
 
mto.mbe vizuri uone kama bado kiburi kitakwepo. Mara nyingi(si zote),wanawake huonyesha their sexual frustrations(due to sexual dissatissfaction) through kiburi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom