Mpenzi wangu ana kiburi

Mpenzi wangu ana kiburi

Nawe mfanye yeye x awe wako kwakumtafuta mwingine ili yeye abakie kuwa mchepuko!
 
Mkuu acha kulalaamika, endelea kumgegeda huku unatafuta mwingine. Ukishampata unayemuona anakufaa, piga chini. Ila unatakiwa uwe fasta la sivyo utaachwa wewe. Halafu punguza kulalamika kijana, usimuonye tena

Kumgegeda,what's the meaning of this naliona Mara nyingi neno hili
 
hii ID mayonise ipo kidem dem ndo maana mtu mwenyew analalamika kama demu..

Gadam!!unajua mayonnaise ni vitu laini laini Kama mtoto mkareez hivi so huwezi kuitwa mayonnaise you know,utakuwa super mbululaz
Cc Le Mutuz
 
Last edited by a moderator:
sasa kama k unapewa bila mashart.unalalamika nn?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom