jafarikyaka
JF-Expert Member
- Nov 13, 2014
- 378
- 269
Unataka kupigia nyeto? Siwezi kuweka picha yake humu.
kumbe unampenda badoo poolee ...sasa wataka ushauri wa nini wakati wwe bado unataka kuendelea naye...watakao kushauri umuache je ??utafanyaje
Unataka kupigia nyeto? Siwezi kuweka picha yake humu.
Ni kweli, huko uhuru unawazingua wengi na kujikuta wanafanya ya ajabu.
Na makundi pia huwa yana nafasi kubwa sana. Akikubali kurudi kwenye mstari nakushauri mkapime.
Mkuu siwezi maana hajanipa ruksa ya kutumia picha yake.
Unanicheka nini sasa, ujue mwenzio namaanisha wala sio sababu ya kalio lake,makalio yapo mengi lakini kwake mwisho wa reli.
Alafu nna mzigo wako sema nakosa jinsi ya kukutumia,ukipata mtu anakuja huko utanistua.
Yaani wadada wa kitanzania wote waliojaa tukupe ushauri uende nje ya nchi????
Wa humu tz atawaoa nani na idadi ya wanaume inapungua siku hadi siku??????
jafarikyaka
Kumpenda nampenda,nikijaribu nikaona bado anaweweseka na mji naachana nae maisha yanasongo mbele.
Chachu Ombara
Mhhhhhh nimejikuta nimecheka ..
We Chachu Ombara lini umeanza kutuwekea chai humu...
Anyway naona kalio ndo linakutatiza tafuta mwingine mwenye kalio kali zaidi lake
Kosa kubwa ni KUMPENDA SANA...
Mwanamke mwenye upendo wa kweli ni MAMA YAKO TU