Chachu Ombara
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 6,163
- 11,230
- Thread starter
- #21
Posa tena wakati bado sijawasiliana vyema na mhusika,alafu posa yao ndefu maana ni jamii ya wafugaji hivyo lazma kwanza mambo yakae sawa.Nenda kwao katoe posa na baada ya hapo utajua kama kweli bado anakupenda ama vipi,acha ngono.