Rudia tena ushauri wangu... Kuna angalizo ila kama una moyo wa chuma cha pua endelea kuotea moto.Mkuu ndio kwanza kamaliza mwaka wa pili,ina maana ana miaka mingine miwili mbele.Kumvumilia mpaka amalize ni muda mwingi sana.Natamani niwe naye wakati bado anasoma.
Kawaida sana siku hizi,tena wengine wana-cohabit na kuishi kama mke na mume.
Wewe Chachu Ombara kitu nimegundua hapa unaonekana upo seriuos kabisa na huyo mchuchu, unachotaka ni kushauriwa namna ya kum-win back... smh! utaumia
Mambo mengine tunaona aibu hata kusimulia, ila mwenzio nishasomesha mtu chuo na huduma zote kwa mamilioni mengi sana na bado nikaingizwa mkenge hata kabla hajamaliza! tena nilichapiwa na kamwanafunzi kenzie. Nilifanya fujo balaa katika kutuliza hasira zangu hatimaye hasira zikaisha.
Hivi sasa nadeal na magumegume menzangu na am a 'happy man' hadi hapo nitakapooa maana umri unasonga balaa. Hao watoto wa vyuo sikuizi ni kuwanunua tu kama vicheche usiwekeze sana lazima ulie tu. Na kwa kweli tunawaburuza haswa!!
Aisee si unajua mwezi mtukufu lazma niadimike. Ila nitarudi maana ndio nyumbani.chachu ombara umehadimika kwenye lile jukwaa pendwa...ebu ukuje fasta tukutoe stress za mnyarwanda doh..
Umefanya kosa la kutaja jina la huyo manzi humu,bahati nzuri namfahamu na nimewahi kumtafuna kipindi kamaliza form 4..acha kumdhalilisha hata kama kakutenda.
kudadeki nikirudi home mwanangu TIA basi bora aolewe
Pole. Vyuoni kuna Mengi.
hebu tupia picha basi ya fb yake ya mkalio
Weka picha kwaanza