Mpenzi wangu amenitenda baada ya kujiunga chuo

Mpenzi wangu amenitenda baada ya kujiunga chuo

kaka hapo umeliwa msipende kulea watoto wa kike ulitakiwa umpige mimba kabla hajafika mwaka wa pili sasa umemwachia mabitozi ona sasa wanavyogonga ngozi na wewe unabaki kulia lia hapa jf hahahahaaha kweli mapenzi kizunguzungu

Mkuu sikutaka kuingilia masomo yake,nilitaka awe poa mpaka akimaliza ndio mambo mengine yafuate. Suala la mabitozi sijui wamenizidi wapi kete,labda wanasoma wote na muda mwingi wako wote ndio maana.

- Alafu silii hovyo JF,nimekuja kuomba ushauri nijue hatma ya penzi langu kwake.
 
hahahahaha hapo unataka nini sasa....ndi imekula kwako sio kila mtu ni wife mwache ale ujana af atakufikiria kama akikosa wajanja wenzake......KUWA MJANJA WA MAPENZI POTEZEA HUNA CHAKO
 
umshauri

kampuni yako ya ushauri imesajiliwa??mpotezee bana utaumia sana kwahili mbona jf wako wengisana we hatakama umechoka jiweke ukosehemu fulan tengeneza kadi.aka buss kadi ukikutana nao unawaachia ..huku unaomba mungu ukosi ssebo..komaa humuhumu unatoka namke akiliyako tu

Mpwa bana, sasa hayo mapenzi yako ya kuigiza ndio mabaya bora kuwa halisi. Vipi leo unatokea top gereji au matako baa?
 
Anha hata Mimi nilitoswa na mpenzi wangu wa kike alikuwa anaitwa Rachel au Rahel.Alipokuwa advance Mimi nipo chuo tulikuwa tuko pamoja sana,yeye ni mtu wa Mbeya sometimes nilikuwa nasafir toka Dar had mbeya wakat wa likizo kwenda kumcheki pande za uyole pale da ,lakin alipomaliza kidato cha 6 kuja university of Daressalaam alinibwaga vibaya ilikuwa karibu nipate ugonjwa wa moyo kutokana na mawazo,had leo sikonaye tena.Ushaur kwako-wanawake ndowalivyo usiumie sana moyo kwani huyo hakupend tena kaka,tafuta msichana mwingine atakayekupenda kwadhat hatimaye huyo utamuona wa kawaida tu

Pole mkuu, kumbe tuna mkasa unaofanana? Sijui kwanini wadada wa mikoani wakija mjini wanapotea sana. Nakumbuka nilimwambia kuwa ''Umetoka Bukoba ukiwa mtu mwema,umekuja Jijini umebadilika baada kujua jiji.Utanikumbuka. We alikuwa mkali sana eti nimemuona mshamba ikanibidi nibaki kimya.
 
That is what happens when you date a 18yrs girl who thinks yeye ni mrembo sana plus she has all the time in the world.
Komaa na wazee wenzetu kaka huto tutoto waachie mabitozi na wazee wa mjini wenye kuwalamba na kusepa.
 
Ndorooooob9o99ooooo wewe. Tafuta pesa , atarudi mwenyewe. Kama swala aliyenyeshewa mvua.
Mapenzi ya kuigiza kaka mimi siyawezi,nataka mapenzi halisi though najua siku hizi bila pesa nadra kupata mwanamke mwenye mapenzi ya dhati.
 
nataka nifahamu tatizo pande zote,ili niweze kushauri mkuu,hakimu mzuri anasikiliza pande zote kwanza
Wewe hukawii kunizunguka,watu siku hizi hamuaminiki.
 
Yaani wadada wa kitanzania wote waliojaa tukupe ushauri uende nje ya nchi????

Wa humu tz atawaoa nani na idadi ya wanaume inapungua siku hadi siku??????

Sasa mkuu utakuwa nao wangapi? Kama nimeamua kuwa na mmoja kwanini niwe na wengine?
 
Hayo ni mambo ya chuo wanamtumia ila hamna muoaji hivyo kama una subira msubirie baada ya kumaliza chuo utajilia embe bichi kwa chumvi na ndimu kwa mbaaaaaaaaaaaaaaaaali!!!!!!!!! Ila hapa ni bahati na sibu kama kusubiria embe dodo chini ya mti wa mwarobaini. Pole sana mkuu ukiona giza linazidi hamia penye mwanga.
 
daah hawa vijana wetu ni mtihani kwelikweli yaani mzazi anajitahidi kumlipia kukusomesha kumbe huko vyuoni mnaishia kudandiana tu

Kawaida sana siku hizi,tena wengine wana-cohabit na kuishi kama mke na mume.
 
Kuna watu anawaamini na kuwategemea kiushauri,jaribu kuwatafuta na kuongea nao labda watakusaidia,maana hili suala peke yako hutoliweza so fanya hvyo mkuu.

Asante mkuu kwa ushauri,nalifanyia kazi wazo lako.
 
That is what happens when you date a 18yrs girl who thinks yeye ni mrembo sana plus she has all the time in the world.
Komaa na wazee wenzetu kaka huto tutoto waachie mabitozi na wazee wa mjini wenye kuwalamba na kusepa.

Unayosema ni kweli lakini wadada wanatofautiana, huyu naamini atakuwa alipotea bahati mbaya au kundi lake ndilo lilimpeleka chaka.
 
Hayo ni mambo ya chuo wanamtumia ila hamna muoaji hivyo kama una subira msubirie baada ya kumaliza chuo utajilia embe bichi kwa chumvi na ndimu kwa mbaaaaaaaaaaaaaaaaali!!!!!!!!! Ila hapa ni bahati na sibu kama kusubiria embe dodo chini ya mti wa mwarobaini. Pole sana mkuu ukiona giza linazidi hamia penye mwanga.
Mkuu ndio kwanza kamaliza mwaka wa pili,ina maana ana miaka mingine miwili mbele.Kumvumilia mpaka amalize ni muda mwingi sana.Natamani niwe naye wakati bado anasoma.
 
Back
Top Bottom