Dah!!Uhusiano una miezi 5, ila ndani ya hiyo miezi 5 kila mmoja anaishi mkoa wake so ni vigumu kujua tabia za mwingine. Ila ghafla mwamba anataka kwenda kwao kujitambulisha. Penzi jipya huwa linavuta kuliko gravitational force![]()
Braza hebu amka, acha kuendeshwa na nguvu ya penzi jipya, huwa kila kitu kianaendeshwa kwa wenge. Nakumbuka wakati nipo Dar nilishawahi toka sinza mida ya saa 1 usiku hadi kivule kwenda kumuona tu demu, siku hiyo kurudi home nilifika saa sita kasoro sababu ya foleni , na bado akaniacha.Mkuu umeua!!
Na ni kweli, unachosema kina mashiko sana na nimekuelewa!!
Ni kweli mkuu, kwa kuwa kuna mambo mengi sana ya kufanya, bora ni fanye hayo kwanza!!Mpotezee, kama unaweza kukaa hadi wiki hamuwasiliani unadhani kuna chako hapo?usipoteze muda wako

Hahahah Mipango bila pesa ni kama story za alifu ulela ulela 😂😂😂Bora useme wewe, eti kumkaza vizuri athubuuuutuuuu
Mwanamke hata akukute hanithi, kama una shekeli atajifanya we ndo unapeleka moto dunia hakuna![]()
Ndugu yangu nashukuru sana kwa ushauri wako!!Braza hebu amka, acha kuendeshwa na nguvu ya penzi jipya, huwa kila kitu kianaendeshwa kwa wenge. Nakumbuka wakati nipo Dar nilishawahi toka sinza mida ya saa 1 usiku hadi kivule kwenda kumuona tu demu, siku hiyo kurudi home nilifika saa sita kasoro sababu ya foleni , na bado akaniacha.
We endelea nae tu huyo mpenz wako, ila wazo la kwenda kwao kurasimisha mahusiano liache kwanza.
Ha ha wengine mpaka unaamka asubuhi ujiandae kwenda church ndio unaona hii kitu ilikua serious aisee, hapo unaangalia bibi mwingine katulia pembeni naked anakuambia angalia tuu nisije kuibuka church nieke pingamizi, unamwambia njoo tuuAhahahah.pole sana kijana
Ila, Hiv mawazo ya kuoana mnayatoaga wapi ndugu mapema namna hiy wakat hamna hata atleast 2 years pamoja?!
Mimi mawazo ya kumuoa angalau yalikuja kwa mbaaaaaali baada ya SENDOFF yake ndio nikashtuka aallahhhh!!!kumbe huyu ndio mke mtarajiwa!! ?? Basi ndio hapo mawazo ya kuoa nilipoyapata.
But before, walaah!!yan mpaka tumeanza vikao vya harus ila mm hata hayo mawazo ya kuoana sina.![]()
Mahusiano yanaanzaga from nowhere tu, hakuna specific time na hayana formula. Unaweza kutana na dem leo, leo hiyo hiyo ukapiga, alaf mwisho wa siku demu akawa yuko poa tu na mkafanya mambo ya msingi pamoja. Ila pia unaweza ukakutana na dem kwenye folen ya kwenda kutoa sadaka church ila mkashindwa kudumu hata wiki tatu.Kaka, una point sana, nimekuelewa!!
Pia unaweza ukanisaidi hapa mkuu swali langu, kwamba ni muda upi sahihi wa mtu kuanzisha mahusiano tangu wafahamiane!?
Kwamba aliezingua ni "Tigo"?+255 901 76 1234
![]()
Uhamuzi ni wako broh. Katika madem wote ambao nishawahi kuwa nao, kuna mmoja nilikutana nae ndan ya dala dala, alivyoshuka na mimi nikashuka. Nilifosi akanipa namba, huyo ndio demu ambae alikuwa honest kuliko wote, na alikuwa real kwa kila kitu hata upendo wake haukuwa na shaka. Sema akili za kisenge tu ndio zimenifanya sipo nae, wanaume sometime tunafeli sana Qmamake.Ndugu yangu nashukuru sana kwa ushauri wako!!
Ila hata hapo pa kuendelea naye, nafikiri niachane naye kabisa, na nisifanye ujinga huu next time!!
Asante sana bro!
Kwahio unamtetea huyo fedhuli. Ishu ni moja tu! Jamaa kamuingia demu mzima mzima hadi mwanamke amemdharau sababu anampelekesha.Naomba niwe tofauti na wachangiaji walio wengi.
1. Anakupenda sana.
2. Ana wivu sana kama mimi.
3. Kuna mambo madogo madogo ameyakuta hapo kwako yakamtia wivu akahisi uko na mtu mwingingine japo wewe unaweza kuyaona ya kawaida.
4. Hukuonyesha kumbembeleza, kumpetipeti badala yake ukanunua minyama, mikuku n.k
5. Swali: Alivyokuja ulimpa muda wako wa kutosha au ulikuwa busy na movies, kuangalia mpira n.k?
NB: Wanawake wakikosa kubembelezwa, show ikiwa kama ya Yanga msimu uliopita, usipompa attention akija kwako wanakuwaga na HASIRA, BITTER.
Pia ULISIKIA WAPI MAPENZI YASIYO NA MISUKOSUKO KIDOGO?
Hahaha ulijifanya kiboloika tatizo. Next time ukipata demu real kaa kitaalamu 😂😂😂Uhamuzi ni wako broh. Katika madem wote ambao nishawahi kuwa nao, kuna mmoja nilikutana nae ndan ya dala dala, alivyoshuka na mimi nikashuka. Nilifosi akanipa namba, huyo ndio demu ambae alikuwa honest kuliko wote, na alikuwa real kwa kila kitu hata upendo wake haukuwa na shaka. Sema akili za kisenge tu ndio zimenifanya sipo nae, wanaume sometime tunafeli sana Qmamake.
Watoto wa mjini DSM, Hizo ndio SI Unit za kupanta penzi halisi kutoka kwao...Ukiyakosa hayo assume huna uume tu!😂😂😂Una gari? Una pesa? Nyumba umepanga au??
Hao ndio wanawake wa Daslam mzee.
Ha ha ha nyie warumi mmeigeuza wahuniHahahah Mipango bila pesa ni kama story za alifu ulela ulela
~Wahuni 10:9-12




Tutaomba fire extinguisherHa ha ha nyie warumi mmeigeuza wahuni
Mtachomwa moto shauri yenu
Kwahio unamtetea huyo fedhuli. Ishu ni moja tu! Jamaa kamuingia demu mzima mzima hadi mwanamke amemdharau sababu anampelekesha.
Kingine kakuta hana pesa kama alivyokuwa anahisi. Geto baya TV ya chogo.






Watoto wa mjini DSM, Hizo ndio SI Unit za kupanta penzi halisi kutoka kwao...Ukiyakosa hayo assume huna uume tu!![]()


































Kitu gani mrembo...hebu sema!
Kuna kitu nimekumbuka ktk comment yako![]()
Wahuni 16:6-9
"Mke mwema haokotwi mjini baharia wangu..huku kuna pisi kali tu afu full miyeyusho!"



BwaahaaaaahaaKwenye mapenzi yenu kila kitu kinaenda haraka haraka na ghafla.
Ghafla mkakutana, ghafla mkapendana, ghafla mkatambulishana kwa watu wa karibu, ghafla unataka kwenda kwao, ghafla akaja kwako, then now ghafla amebadilika.





mbona ghafla maninaaaaaaz