Mpenzi wangu amebadilika ghafla

Mpenzi wangu amebadilika ghafla

Pole mkuu kama Ana tako ushamkosa ila kama hana atarudi tuu kwa muda huu kutakua na mwamba yuko nae kwa muda
Hahahah hii michezo ya mapenzi bana...😂😂😂! Demu wa mjini ukimpenda anakuona choko.
 
Ulimla mkuu?

IIla kama vp achana nae tu, sasa mtu umekutana nae mjini unaanza kumshobokea, eti nishapata mke

Acha hizo braza usije ukajinyonga bure kisa utelezi tu
Anahisi mjini kuna wake wa kuokota, 😂😂😂? Huku ni kuparangana na gari mbovu tu...Unapiga puti kidogo unaingiza barabarani
 
Ni kweli ndugu yangu... Hata mimi nimehisi hivyo tangu awali... Sema sikutaka kwa haraka kutemana naye... Nikasema ngoja niombe ushauri kwrnu ndugu zangu!!
Hapa ushauri ni kuanza kutafta mwanamke huko huko ulipo. Utapata tu huyu mwa mjini waachie watoto wa mjini ndio wanawajulia.
 
Kwenye mapenzi yenu kila kitu kinaenda haraka haraka na ghafla.

Ghafla mkakutana, ghafla mkapendana, ghafla mkatambulishana kwa watu wa karibu, ghafla unataka kwenda kwao, ghafla akaja kwako, then now ghafla amebadilika.
we jamaa ni ghafla tu umekuja kwenye uzi wa jamaa na ghafla ume comment! 😂😂😂 Ghafla sana umemshangaa mwamba!
 
we jamaa ni ghafla tu umekuja kwenye uzi wa jamaa na ghafla ume comment! Ghafla sana umemshangaa mwamba!
mwamba mwenyewe amekuja ghafla tu. Katika vitu ambavyo vinatokea ghafla sana kuna radi, umeme, mwanga na uhusiano wa huyu mwamba.
 
Kwenye mapenzi yenu kila kitu kinaenda haraka haraka na ghafla.

Ghafla mkakutana, ghafla mkapendana, ghafla mkatambulishana kwa watu wa karibu, ghafla unataka kwenda kwao, ghafla akaja kwako, then now ghafla amebadilika.
Mkuu umeua!!

Na ni kweli, unachosema kina mashiko sana na nimekuelewa!!
 
mwamba mwenyewe amekuja ghafla tu. Katika vitu ambavyo vinatokea ghafla sana kuna radi, umeme, mwanga na uhusiano wa huyu mwamba.
Kaka, una point sana, nimekuelewa!!

Pia unaweza ukanisaidi hapa mkuu swali langu, kwamba ni muda upi sahihi wa mtu kuanzisha mahusiano tangu wafahamiane!?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom