Mpenzi wangu ameanza kunywa pombe

Hawa wenzetu wanaojifanya wanajua dini wanachaguaga dhambi na dhambi. Zingine kwao dhambi zingine sio dhambi. Kama kuzini sio dhambi ila pombe mama weeeeee. Ujue bora mtu aseme sababu nyingine ila sio dhambi. Kwetu RC tunakunywa pombe na mapadri hamna mtu anamnyooshea kkdole mwenzake. Ila ndo mambo ya imani. Mwingine dhambi kwake mwingine sio. Tatizo hawa watakatifu sana kama kwake dhambi basi anataka kila mtu aone ni dhambi
Kumbe
Zinaa rukhsa hapo sasa
 
Nakusihi tena nakusihi, achana nae hafai tena huyo
 
Shubamit umeachwa tayari wewe naacha kudate na vijibinti eti anakupigia simu kalewa.
😂😂😂😂 wewe na yeye hamnazo bangi ndio zimo nyingi.
 
JF Kuna wanaume wanafiki sijapata ona,
HV humu ndani wote wake zenu hawanywi pombe kweli? Mfyuuuuuu zenu,
Humu hakuna wanawake wanywaji na wameolewa?
Huyu mtoa mada yeye kama hataki mnywa pombe , Basi atafute mwingine asiyekunywa,
ila sio muanze kutoa kashfa kwa wanawake, wanywaji wakati mnaishi nao ndani na mnakunywa pamoja na kufurahia maisha,
 
Acha kuzunguka mkuu na kuhalalisha mabalaa, demu akishaanza pombe tu hafai. awe mnywaji awe mlevi wote wanakuwa rahisi tu kuliwa
 
Duu hapo nimeelewa na kujifunza kitu
 
Mzigua kwani unakunywa??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…