Mpenzi wangu aliniacha sababu boksa zangu ni za vitenge!

covid 19

JF-Expert Member
May 9, 2014
5,167
11,449
Mwezi na tarehe kama ya leo last year niliachwa na mpenzi wangu wa kinyaturu kisa kilikuwa cha kijinga sana eti boksa zangu ni za vitenge..

Sasa yeye sijui alitaka niwe na boksa zipi maana kipindi hiko nilikuwa fundi cherehani so vipannde vya vitenge vilivyokuwa vinabaki nilijitengenezea boksa zangu mwenyewe.

Nazipenda sana boksa nilizotengeneza kwa kitenge cha wax zinang'aa vizuri sana.
 
Mwezi na tarehe km ya leo last year niliachwa na mpenzi wangu wa kinyaturu kisa kilikuwa cha kijinga sana eti boksa zangu ni za vitenge..

sasa yy sijui alitaka niwe na boksa zipi maan kipindi hiko nilikuwa fundi cherehani so vipannde vya vitenge vilivyokuwa vinabaki nilijitengenezea boksa zangu mwenyewe.
Kuanzia Leo wewe ni msaidizi wangu mkuu.
 
Mwezi na tarehe km ya leo last year niliachwa na mpenzi wangu wa kinyaturu kisa kilikuwa cha kijinga sana eti boksa zangu ni za vitenge..

sasa yy sijui alitaka niwe na boksa zipi maan kipindi hiko nilikuwa fundi cherehani so vipannde vya vitenge vilivyokuwa vinabaki nilijitengenezea boksa zangu mwenyewe.
Ulikuwa unashona boksa za vitenge kama baba yake varshita
 
Mwezi na tarehe km ya leo last year niliachwa na mpenzi wangu wa kinyaturu kisa kilikuwa cha kijinga sana eti boksa zangu ni za vitenge..

sasa yy sijui alitaka niwe na boksa zipi maan kipindi hiko nilikuwa fundi cherehani so vipannde vya vitenge vilivyokuwa vinabaki nilijitengenezea boksa zangu mwenyewe.
Alijua moja kwa moja hyu baba ni bahili, kama atatunza Pumb,,u kwa vipande vya kanga kitumbua sindio atakifunika na majani
 
images (2).jpeg
 
Mwezi na tarehe kama ya leo last year niliachwa na mpenzi wangu wa kinyaturu kisa kilikuwa cha kijinga sana eti boksa zangu ni za vitenge..

Sasa yeye sijui alitaka niwe na boksa zipi maana kipindi hiko nilikuwa fundi cherehani so vipannde vya vitenge vilivyokuwa vinabaki nilijitengenezea boksa zangu mwenyewe.
😀😀😀😀dah
 
Demu wako ni limbukeni mkuu,kwanza kuvaa boksa ni anasa sisi wamasai hatuvai boksa na tunapata mademu wa kizungu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom