Mpenzi wako yuko hapa. Mtambue sasa hivi

Mpenzi wako yuko hapa. Mtambue sasa hivi

Mokoyo

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2010
Posts
15,145
Reaction score
5,573
Kuna mshikaji wangu yuko hapa hapa JF anasema amegundua mpenzi/mchumba wake yuko hapa JF kupitia uandishi wa comments zake. Amemtambua kutokana na uandishi wa maneno yake kwenye "text message" anazomtumia na hata maneno anayopenda kuyatumia kwenye kuongea. Je, hili linawezekana? Wewe je, umeweza kumtambua mpenzi/mume/mke/mchumba kupitia uandishi wa comments?
 
.....aiseeeee.......

Prakatatumba patumba patumba....
 
Kuna mshikaji wangu yuko hapa hapa JF anasema amegundua mpenzi/mchumba wake yuko hapa JF kupitia uandishi wa comments zake. Amemtambua kutokana na uandishi wa maneno yake kwenye "text message" anazomtumia na hata maneno anayopenda kuyatumia kwenye kuongea. Je, hili linawezekana? Wewe je, umeweza kumtambua mpenzi/mume/mke/mchumba kupitia uandishi wa comments?

nimekubamba cjakubamba!
 
anasema kupitia maneno ambayo ameyazoea kwake

Duh! nadhani ni ngumu sana mkuu...

Mathalani, mimi watu8 niandikavyo hapa jamvini ni tofauti kabisa na nikiwa PM (waliowahi kuwasiliana nami huko wanaweza kuwa mashahidi)...vilevile ni tofauti na nikiwasiliana kwa SMS...
 
Hii so rahisi, kuandika Kama hive n tofauti n ukiwasiliana direct na mtu
 
Back
Top Bottom