- Thread starter
- #21
kwani mpenzi/mume/mke akiwa humu ni kosa?
sio kosa ila inaweza kuwa kosa
kwani mpenzi/mume/mke akiwa humu ni kosa?
inawezekana piaDaaaah iyo n pesonality
Inawezekana kwa mtu uliye mzoea sana
Mi natambua kabisa uandishi wa mtu wangu wa karibu.
Hii so rahisi, kuandika Kama hive n tofauti n ukiwasiliana direct na mtu
unamaanisha nini?Mimi nimemtambua Preta "kama hunukii... unanukia"
. Nimtambue ili iweje??
mhhh cjui
.....aiseeeee.......
Prakatatumba patumba patumba....
Wangu yumo na huwa nikiona post yenye kuvutia namwita kabisa .. So proud of him lolz.
No offense akiona nachofanya humu.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
sio kosa ila inaweza kuwa kosa
mmh!! sijui kama inawezekana
ila sasa husilete au yeye asilete yale maswahibu yanayowakabili chumbaniIshiiii.... Kwani kuna madhambi yanafanyika humu hadi nijifiche ..
Wangu yumo na huwa nikiona post yenye kuvutia namwita kabisa .. So proud of him lolz.
No offense akiona nachofanya humu.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums