Utaishia kuleta thread kama hii: https://www.jamiiforums.com/mahusiano-mapenzi-urafiki/148829-okoa-ndoa-hii.html
kwa nini usimkatalie? Kuwa wa kwanza ndio nini? Alikuwa wa kwanza lakin mda wake ushapita na nafasi yake ishachukuliwa na mtu mwingine.Watu huwa wanasema awali ni awali bt hakuna kitu kama hicho.
Awali ni awalihakuna awali ILIYO MBOVU
sijaelewa hapokama ikatokea umekutana na mpenzi wako wa kwanza kabisa,yaani yule 'aliyelianzisha' na mna mahusiano na watu wengine tofauti,say umeoa/olewa na akataka 'kukumbushia'.je una ubavu kweli wa kumkalia?
Mamaa Afro mamboo....! Unamaanisha unahitaji comfort kwanza, so then u can talk about it....eeh!MmmhhhhAkianza kukukumbushaNa hutaki kusikia mwambie tu Kwamba hauko comfortable kuongeleamambo hayo sasa.. kama ni muelewaAtakusikia..