Mhilu
Member
- Feb 23, 2012
- 72
- 27
Hahahahahah na mimi nashangaa....una saa ya mil 600 unaishi nyumba ya mil 50.....saa ya million 600 halafu wanatembelea mark x ya million 14 tena alipewa zawadi na diamond kwenye birthday........anyway kwa akili hizo wacha bashite aendelee kuwatawala dar