Pax Vobiscum
JF-Expert Member
- Oct 29, 2018
- 455
- 765
Haaaaa mkuu anzisha wewe Uzi ili tuchangie pia, maana jf hakuna Tena mvutoNdugu yangu, inakaribia mwezi kwa hali iliyokukumba ndiyo iliyonikumba. Jukwaa la kimataifa napo pako kimya, mada zime lala. Intelligence nalo bado. Nimeishia kutizama taarifa za habari YouTube. Nafungua tena Jf nakutana na andiko lako.
Usiku mwema kama upo Tanzania.
Sent using Jamii Forums mobile app