lutashobya1989
Member
- Nov 8, 2018
- 44
- 40
niambie ww sasaKama umeoa jaribu kufanya hivyo then utaobserve matokeo baada ya hapo...
Sent using Jamii Forums mobile app
niambie ww sasaKama umeoa jaribu kufanya hivyo then utaobserve matokeo baada ya hapo...
Sent using Jamii Forums mobile app
Haaaaaaaaaaa mkuu jf hamna mambo yakufikirisha au kusaidia Sana zaidi ya udaku, siasa uchwara na mapenziMimi kwa leo nimekomea hapa!
Maana nazunguka hapa nusu saa sasa natafuta mada za kuchangamsha akili hakuna naona namaliza bundle langu tu ngoja nitafute kitu kingine cha kufanya.
Hahaha Mimi kabisa looh,Mimi kwa leo nimekomea hapa!
Maana nazunguka hapa nusu saa sasa natafuta mada za kuchangamsha akili hakuna naona namaliza bundle langu tu ngoja nitafute kitu kingine cha kufanya.
poaKama nyote mnafanya inaongeza mazoea(kuzoeana)
Ila kama kila siku ni wewe tu unajamba jamba lazima atakudharau tu, na lazima atakuja kushitaki jamii forums "MME WANGU ANAJAMBA KILA SIKU, NIMEMCHOKA NIFANYEJE"?
Mkuu greater thinkers hakuna humu, jf intelligence hakuna Cha maana, siasa hakuna Cha maana, MUM nako ndo tabu kabisaHahaha Mimi kabisa looh,
Angekuwepo the bold maybe!
Sure mkuuHii mada imeanzishwa na Mtanzania wa umri wa miaka 29+..kikubwa leo tarehe moja anawaza kujampa..jiulize mwezi wa kumi na mbili atakuwa na hali gani?crap!
Sent using Jamii Forums mobile app
ukipata jambo la maana katika upumbavu inasaidia kuliko kutafuta upumbavu katika jambo la maana.Mkuu greater thinkers hakuna humu, jf intelligence hakuna Cha maana, siasa hakuna Cha maana, MUM nako ndo tabu kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafuta jambo la maana katika upumbavu wa mwenzako kuliko kutafuta upumbavu katika mawazo ya ya mwenzako na wewe hutoi mawazo yako!Sure mkuu
Ameshiba, inawezekana kavimbiwa....so hayo ndio matokeo...Hii mada imeanzishwa na Mtanzania wa umri wa miaka 29+..kikubwa leo tarehe moja anawaza kujampa..jiulize mwezi wa kumi na mbili atakuwa na hali gani?crap!
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani taabu JF ileeee! Ishakuwa FbMkuu greater thinkers hakuna humu, jf intelligence hakuna Cha maana, siasa hakuna Cha maana, MUM nako ndo tabu kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
poaInaongeza uaminifu...maana kama unaweza kuficha ushuzi ambao upo kibaolojia...mangapi unamficha mwenzi wako!!
Ila usizidi sana.
Mama mkwe wangu anajamba mbele ya ya jukuu zake afu anawaambia nikijamba niamkieni shikamoo!Kujamba mbele ya mke/mume wako inaondoa heshima?
HahaahaKujamba kwa mwanaume kunaongeza nguvu za kiume na hisia za mapenzi kwa mpenzi wako kwa sababu mke akijamba mwanaume anaongeza ashiki kwa kutaka kujua fyuzi zimepita wapi hadi kutoka nje ya makalio makubwa,
Mapenzi yanaongozaHaaaaaaaaaaa mkuu jf hamna mambo yakufikirisha au kusaidia Sana zaidi ya udaku, siasa uchwara na mapenzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu yangu, inakaribia mwezi kwa hali iliyokukumba ndiyo iliyonikumba. Jukwaa la kimataifa napo pako kimya, mada zime lala. Intelligence nalo bado. Nimeishia kutizama taarifa za habari YouTube. Nafungua tena Jf nakutana na andiko lako.Mimi kwa leo nimekomea hapa!
Maana nazunguka hapa nusu saa sasa natafuta mada za kuchangamsha akili hakuna naona namaliza bundle langu tu ngoja nitafute kitu kingine cha kufanya.
Ni kweli japo mada zenyewe za mapenzi Ni utumbo mtupu, hazina tofauti na za Facebook kabisa