bilnas daktari wa tezi dume au ?
Mkuu ungerekodi tuMi wife alianza hizo tukagombana. Ameacha, eti kasema kanizoea sana.
Nilichogundua hua unachangia thread za kujamba jamba tuM
Mbona fulesh tu! mwache ajambe bhana
Nimecheka sana...Mimi najambaa tu tena ushuzi ule wa tetemeko la ardhi unaopitia kwenye papuchi utasikia tu prapapapatapataaaa
Kujamba ni afyaaa jaman mwachen ajambe kwa raha zakeee
GENTAMYCINE how old ur.Ninachojua tu ni kwamba ukiwa na Mwanamke ambaye anajamba jamba sana huo ni ' uthibitisho ' tosha kwamba laini yake ya Tigo imeanza kutumika muda mrefu na bado inatumika sana na pengine sasa hivi ina haja ya kubadilishwa kwani imezidiwa na ' mawimbi ' meusi mafupi yaliyotukuka.
HahahahahahaHiyo tabia alitakiwa aikemee adhawaiz ajiandae kujambiwa for the rest of his life mpaka anaingia kaburini
Kwann mkuuNimecheka sana...
Hiyo tabia alitakiwa aikemee adhawaiz ajiandae kujambiwa for the rest of his life mpaka anaingia kaburini