B40
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 820
- 538
- Thread starter
- #61
Nitaenda kuongea naokama mtoto hatunzwi vizuri unamchukua tu mkuu
Sent from my M910 using JamiiForums mobile app
Nitaenda kuongea naokama mtoto hatunzwi vizuri unamchukua tu mkuu
Uanzishe uzi wako mwache achague kwanzaEmbu ni Pm mm kama jamaa hatokuwa tayar...weka kabisa na mawasiliano yako..
sawa mkuu ngoja nitafakari nitakutafuta kama nafasi itakuwa bado wazi
naombeni ushauri nimchukue huyu jamaa au?
Wewe ni rafiki mbaya kweli kweli,badala ya kumsaksia kwangu eti unamsaksia kwa watu wengine!!Nipo shosti ebu mkubali huyo mkaka anamaanisha ujue
......mimi unataka niendelee kuwa mseja hadi lini?


Tatizo rafiki hueleweki nini unataka halaf utani mwingi sana mtu anajua haupo seriousWewe ni rafiki mbaya,bada ya kumsaksia kwangu eti unamsaksia kwa watu wengine!!......mimi unataka niendelee kuwa mseja hadi lini?
Post sent using JamiiForums mobile app
Hakuna asiejua hapa JF kuwa nataka chura!Tatizo rafiki hueleweki nini unataka halaf utani mwingi sana mtu anajua haupo serious
Poa mysawa mkuu ngoja nitafakari nitakutafuta kama nafasi itakuwa bado wazi
ahaaaa yaani wewe atakaekupata ana hasaraWewe ni rafiki mbaya kweli kweli,badala ya kumsaksia kwangu eti unamsaksia kwa watu wengine!!......mimi unataka niendelee kuwa mseja hadi lini?
Post sent using JamiiForums mobile app
mimi nataka tukae na mtoto kabisa kama inawezekana mtoto mama yake anaruhusiwa kuja kumuona anytime ata akitaka kuhamia poa
Basi Miss Natafuta hana chura rafikiHakuna asiejua kuwa nataka chura!
chura ninae shogaa ila huyu jamaa simtaki kabisa kanapenda ngono sana kanaoneshaBasi Miss Natafuta hana chura rafiki
Miss Natafuta najua chura la maana analo na linakaribia kama kilo 50 hivi!Basi Miss Natafuta hana chura rafiki
Asante mkuuMchukue
Post sent using JamiiForums mobile app
Naona Miss natafuta jamaa ameshakuwa mume ila tatizo mtotomambo ya mume wangu kupigiwa simu ooh njoo mtoto anaumwa sitaki .aje yeye sio mume wangu amfate.



