Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,076
- 6,774
mimi nataka tukae na mtoto kabisa kama inawezekana mtoto mama yake anaruhusiwa kuja kumuona anytime ata akitaka kuhamia poa
Wacha tu akae kwa mama amlete kwa mapenzi yake. Kukumbushiana ni tabia tu anaweza akakumbushia kwa wengine jiamini. Ila mi mpinzani wako huko pm