bigmind
JF-Expert Member
- Oct 28, 2015
- 12,457
- 12,705
Njia rahisi ya kunikwepa ni kuhamia fb tuu..! Frustrations zako huwa najifunza mengi kwa watu mnaoishi kwa kutegemea mwili(nyama na damu) bila roho..!nishakuomba mkuu ukae mbali na mimi? kwani lazima unijibu sitaki nakuomba kwa heshima.

