Mpenzi hajakariri namba yangu ya simu,ananipenda kweli?

ndege JOHN

JF-Expert Member
Aug 5, 2015
19,568
44,778
Tuna mahusiano ya zaidi ya miezi nane.leo nikamwambia ninunulie kifurushi kupitia simu yako kwa kuwa me nadaiwa na tigo nilikopaga tigo niwezeshe.si ndo ikafika ile sehemu ya kuandika namba eti hajui namba yangu ananiuliza nimtajie.ikabidi nimwambie kuwa hayupo serious na mimi,how come anashindwa kumeza namba yangu?nimekuja kwenu ma Al watan mnipe ushauri,mwanamke wa hivi nimwache au niendelee naye maana me nahisi Kama hanipendi kwanini hanizingatii inawezekana Ni tatizo hili
 
Tuna mahusiano ya zaidi ya miezi nane.leo nikamwambia ninunulie kifurushi kupitia simu yako kwa kuwa me nadaiwa na tigo nilikopaga tigo niwezeshe.si ndo ikafika ile sehemu ya kuandika namba eti hajui namba yangu ananiuliza nimtajie.ikabidi nimwambie kuwa hayupo serious na mimi,how come anashindwa kumeza namba yangu?nimekuja kwenu ma Al watan mnipe ushauri,mwanamke wa hivi nimwache au niendelee naye maana me nahisi Kama hanipendi kwanini hanizingatii?
Ujinga tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuna mahusiano ya zaidi ya miezi nane.leo nikamwambia ninunulie kifurushi kupitia simu yako kwa kuwa me nadaiwa na tigo nilikopaga tigo niwezeshe.si ndo ikafika ile sehemu ya kuandika namba eti hajui namba yangu ananiuliza nimtajie.ikabidi nimwambie kuwa hayupo serious na mimi,how come anashindwa kumeza namba yangu?nimekuja kwenu ma Al watan mnipe ushauri,mwanamke wa hivi nimwache au niendelee naye maana me nahisi Kama hanipendi kwanini hanizingatii?
TZ YA...........

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuna mahusiano ya zaidi ya miezi nane.leo nikamwambia ninunulie kifurushi kupitia simu yako kwa kuwa me nadaiwa na tigo nilikopaga tigo niwezeshe.si ndo ikafika ile sehemu ya kuandika namba eti hajui namba yangu ananiuliza nimtajie.ikabidi nimwambie kuwa hayupo serious na mimi,how come anashindwa kumeza namba yangu?nimekuja kwenu ma Al watan mnipe ushauri,mwanamke wa hivi nimwache au niendelee naye maana me nahisi Kama hanipendi kwanini hanizingatii?
Pumba.vu
 
Back
Top Bottom