ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 19,568
- 44,778
Tuna mahusiano ya zaidi ya miezi nane.leo nikamwambia ninunulie kifurushi kupitia simu yako kwa kuwa me nadaiwa na tigo nilikopaga tigo niwezeshe.si ndo ikafika ile sehemu ya kuandika namba eti hajui namba yangu ananiuliza nimtajie.ikabidi nimwambie kuwa hayupo serious na mimi,how come anashindwa kumeza namba yangu?nimekuja kwenu ma Al watan mnipe ushauri,mwanamke wa hivi nimwache au niendelee naye maana me nahisi Kama hanipendi kwanini hanizingatii inawezekana Ni tatizo hili