Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,478
- 39,999
si utaenda kufanya vipimo lakini?hapa ndipo mtu anakuwa na wakati mgumu sana,,,
kwa sasa ukisema utafanya hivi au vile kabla huijakutokea, utakuwa unajidanganya!
tatizo siyo kupima...psychological utakuwa affected sanasi utaenda kufanya vipimo lakini?
Yaweza kuwa ni mpenzi wako au mke wako au mama wa watoto wako; linatokea tukio ambapo anabakwa (ujambazi, kuvamiwa, kutegeshwa n.k). Na anakuja na machozi na kukulia na kusema tukio hilo na ni kweli vipimo vya hospitali vinaonesha katendewa jambo hilo.
a. Unafanya nini?
b. Unamuamini?
c. Utamsaidia kupita kwenye tukio hilo?
d. Utaendelea kuwa naye.
Je kama wewe ndio mwanamke na tukio hilo limekutokea na unawezekano wa kulificha kwa mwenza wako je utaficha hutamwambia? Ukiamua kumwambia unatarajia nini?
kubakwa ni kitu ambacho kinaathiri kisaikolojia,sio kwa mhanga pekee,bali pia hata kwa familia na watu wa karibu. mwenza wa mhanga wa kubakwa anahitaji msaada karibu sawa na aliyebakwa. ataadhirika kisaikolojia,lakini cha kwanza atakua kwenye denial phase. hatoamini, halafu hatoamini kama mbakwaji alibakwa bila ridhaa ama kusababisha mwenyewe.
kama mimi ndie mhanga, cha kwanza ni kumtaarifu umpendae (anaweza kuwa sio mwenza,itategemea na mahusiano yetu yakoje kikawaida na wakati wa tukio). they say when u ar not happy u call the person whom u think loves u the most. and when u ar happy u call the person whom u lov the most. so wa kwanza kumuambia na ku-share nae the grief ni yule unaejua anakupenda sana (anaweza kuwa mwenza/mpenzi, mama, dada, rafiki wa karibu wa kike ama wa kiume).
Yaweza kuwa ni mpenzi wako au mke wako au mama wa watoto wako; linatokea tukio ambapo anabakwa (ujambazi, kuvamiwa, kutegeshwa n.k). Na anakuja na machozi na kukulia na kusema tukio hilo na ni kweli vipimo vya hospitali vinaonesha katendewa jambo hilo.
a. Unafanya nini?
b. Unamuamini?
c. Utamsaidia kupita kwenye tukio hilo?
d. Utaendelea kuwa naye.
Je kama wewe ndio mwanamke na tukio hilo limekutokea na unawezekano wa kulificha kwa mwenza wako je utaficha hutamwambia? Ukiamua kumwambia unatarajia nini?
yap ni kweli...hapa sasa inabidi watafutwe wana saikologi.bila hivyo kuna uwezekano wa kujinyongatatizo siyo kupima...psychological utakuwa affected sana
Yaweza kuwa ni mpenzi wako au mke wako au mama wa watoto wako; linatokea tukio ambapo anabakwa (ujambazi, kuvamiwa, kutegeshwa n.k). Na anakuja na machozi na kukulia na kusema tukio hilo na ni kweli vipimo vya hospitali vinaonesha katendewa jambo hilo.
a. Unafanya nini?
b. Unamuamini?
c. Utamsaidia kupita kwenye tukio hilo?
d. Utaendelea kuwa naye.
Je kama wewe ndio mwanamke na tukio hilo limekutokea na unawezekano wa kulificha kwa mwenza wako je utaficha hutamwambia? Ukiamua kumwambia unatarajia nini?
Yaweza kuwa ni mpenzi wako au mke wako au mama wa watoto wako; linatokea tukio ambapo anabakwa (ujambazi, kuvamiwa, kutegeshwa n.k). Na anakuja na machozi na kukulia na kusema tukio hilo na ni kweli vipimo vya hospitali vinaonesha katendewa jambo hilo.
a. Unafanya nini?
b. Unamuamini?
c. Utamsaidia kupita kwenye tukio hilo?
d. Utaendelea kuwa naye.
Je kama wewe ndio mwanamke na tukio hilo limekutokea na unawezekano wa kulificha kwa mwenza wako je utaficha hutamwambia? Ukiamua kumwambia unatarajia nini?
Hili swali lina implications nyingi sana; vipi kwamba baada ya kubakwa mama anapata ujauzito? - wapo watu mashuhuri ambao walizaliwa kutokana na rape! vipi kama katika kubakwa akapata kilema au kuambukizwa?
No woman i believe will tell her man if she has been raped!! Ukweli usemwe tu hapa. Wanaume hawaangalii tukio hilo kama uhalifu bali kama kitendo cha ngono.Ukimwambia kuwa umebakwa si ajabu ukajikuta unadhalilika mara ya pili kwa maana ya kulaumiwa kuwa umejitakia.
Utaulizwa masuala kama why did you open the door na unajua uko peke yako? Why does he even know your address kama hukumpa? Na shutuma nyingi kama inasababishwa na the way you dress up, the way you conduct yourself in front of him
Na hofu ya kusema inazidi hasa ikiwa mbakaji ni mtu unaemjua