Mambo gani haya unaleta jombaa!!??
Mambo gani haya unaleta jombaa!!??
ndo mnae nyote nyinyi tulitumia kama masaa mawil tu kuongea hilo ttzo tukalimaliza tukaenda na mengne ni cku ya nne leo toka litokee hili kwaio fanya hivo naww muongee uso na macho Na ww mtengenezee kosa la kushika simu bila ruhusa yako alaf uwe ww ndo umemuacha ili akuombe msamaha yeye
GunFire
Mkuu hizo message nikama wiki nasijazoea kufuta message maana namba mpya ninyingi, nikifuta huwa nasahau namba mpya ninyingi ndomana Sina mazoea yakufuta messag
Sent using Jamii Forums mobile app
sawa mkuuUkiamua kuwa muongo unatakiwa uwe na kumbukumbu kutana na huyo habibty wako uongee na huyo mchepuko umuache mbele yake
Sent using Jamii Forums mobile app


Fanya yoooote ila usikubali kuwa umechepuka,, mwanaume hata ukutwe kitandani na demu tafuta kila namna ukatae..
Otherwise ukikubali kifala next time atafanya yeye na ukimkuta atasema mbona wewe ulichepuka akakusamehe
Take Care & Thank me later,,,, usisahau ku sanitize kuepuka Corona
Mm bwana wngu alikubali kua amechepuka ni mtu wake ila alikataa kata kata kua hajawah kulala nae huyo ivi wanaume mnatuona watoto cjui uchepuke bila kugegeda ulkua na maana gan hamjui kukubal kosa mnakomaa
Kukubali kosa moja kwa moja ni udhaifu mkubwa sana kwa mwanaume.. Vipi bwana ako mnaendelea nae au mliishia hapohapo..???
yaliisha hapo hapo tunaendelea na mengne na wala hana ela ni bahati tu ya kunipata mm nikatulia nae
Hehehe so asichezee bahati au sio?
Sawa Mkuu,, endelea na moyo huo huo utadumu.
Yeah ndo wanaume ukiwaelewa unajipumbaza maisha yakasonga
Kula maisha mkuu, Wanaume sisi ni bidhaa adimu.
Mpende Mmeo
NB: Hilo jina lako sikuwahi waza kama ni Mwanamke

la JF hilo la JF hilo
Duuh hukuwaza lingine la kike kike..Peku la Ungo
Jina zuri ni lile ambalo mtu hawez kuelewa jinsi yako