Mpenzi amefumania message za mapenzi

Mpenzi amefumania message za mapenzi

Ushauri naombeni members wenzangu wa JF.

Habari wakuu, naombeni ushauli wenu wakuu Leo mpenzi wangu amefumania message za mwanamke mwingine ambazo zilikuwa za muda mlefu ameamua kuniacha, nikimtumia message hajibu whtspp message zinatiki anaziona lakini hajibu kila nikituma message za msamaha anaziangalia tuu hajibu mpaka nimechoka sasa, nampenda sana.

Ushauri wenu wenu wakuu nifanyeje anielewe
Asntn.

Sent using Jamii Forums mobile app
Jinyonge

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jaman mapenz haya kwel

Sent using Jamii Forums mobile app
relax kwanza mpe muda hasira zipungue huku unajipanga then tumia uongo huu hapa

1: kwanza mwambie simu umenunua kwa mtu so hizo chat zilikuja na simu na wala hujapata muda wa kureset simu.

2: mwambie simu yako kuna rafiki yako unaishi nae/ umepanga nae anaitumia mara kadhaa so ndo aliechat na huyo girl (hapa mpange mshkaji wako akaongee nae)

3: mwambie hizo text ni za jamaa ako (mwanaume) alikuwa anakufowardia majibu ya girl wake wa siku nyingi.....this is recomended sana.

Tumia namba 3 then jua kucheza vzuri na namba alitaka umoe ya jamaa ako inayofanana na huyo girl

4: andika text kali sana ya kumsifia huyo mpenzi wako ambayo unakuwa Kama unajutia kosa hivi na iwe kama unamuandikia Rafiki ako wa kiume mwingine yani unamsimulia tukio lilivyokuwa then humo ndani ya text unasema najutia nakosa yangu coz nampenda mpenzi wangu na ninamalengo nae mengi nitaishije bila yeye etc alafu unamtaja hata jina rafk ako wa kiume then huyo text unatuna makusudi kwa girl kwangu kujifanya umekosea then thank me later...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tafuta hela na ufanye maisha unachokileta hapa ni ufukara wa mawazo unaanzaje kbs kumlilia mwanamke aliyeondoka kwa kosa lako mwenyewe. Jiangalie ukifa kwa korona hauzikwi na familia yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushauri naombeni members wenzangu wa JF.

Habari wakuu, naombeni ushauli wenu wakuu Leo mpenzi wangu amefumania message za mwanamke mwingine ambazo zilikuwa za muda mlefu ameamua kuniacha, nikimtumia message hajibu whtspp message zinatiki anaziona lakini hajibu kila nikituma message za msamaha anaziangalia tuu hajibu mpaka nimechoka sasa, nampenda sana.

Ushauri wenu wenu wakuu nifanyeje anielewe
Asntn.

Sent using Jamii Forums mobile app
Maliza kwanza kusoma la sivyo utaharibikiwa mbeleni

My life is mine to remember
 
Back
Top Bottom