Yote ya nini??relax kwanza mpe muda hasira zipungue huku unajipanga then tumia uongo huu hapa
1: kwanza mwambie simu umenunua kwa mtu so hizo chat zilikuja na simu na wala hujapata muda wa kureset simu.
2: mwambie simu yako kuna rafiki yako unaishi nae/ umepanga nae anaitumia mara kadhaa so ndo aliechat na huyo girl (hapa mpange mshkaji wako akaongee nae)
3: mwambie hizo text ni za jamaa ako (mwanaume) alikuwa anakufowardia majibu ya girl wake wa siku nyingi.....this is recomended sana.
Tumia namba 3 then jua kucheza vzuri na namba alitaka umoe ya jamaa ako inayofanana na huyo girl
4: andika text kali sana ya kumsifia huyo mpenzi wako ambayo unakuwa Kama unajutia kosa hivi na iwe kama unamuandikia Rafiki ako wa kiume mwingine yani unamsimulia tukio lilivyokuwa then humo ndani ya text unasema najutia nakosa yangu coz nampenda mpenzi wangu na ninamalengo nae mengi nitaishije bila yeye etc alafu unamtaja hata jina rafk ako wa kiume then huyo text unatuna makusudi kwa girl kwangu kujifanya umekosea then thank me later...
Sent using Jamii Forums mobile app
Umekosa kama unampenda sana mwombe msamaha nakama hakubali.
Basi sio nyota yako..

