Mpenzi amefumania message za mapenzi

Mpenzi amefumania message za mapenzi

relax kwanza mpe muda hasira zipungue huku unajipanga then tumia uongo huu hapa

1: kwanza mwambie simu umenunua kwa mtu so hizo chat zilikuja na simu na wala hujapata muda wa kureset simu.

2: mwambie simu yako kuna rafiki yako unaishi nae/ umepanga nae anaitumia mara kadhaa so ndo aliechat na huyo girl (hapa mpange mshkaji wako akaongee nae)

3: mwambie hizo text ni za jamaa ako (mwanaume) alikuwa anakufowardia majibu ya girl wake wa siku nyingi.....this is recomended sana.

Tumia namba 3 then jua kucheza vzuri na namba alitaka umoe ya jamaa ako inayofanana na huyo girl

4: andika text kali sana ya kumsifia huyo mpenzi wako ambayo unakuwa Kama unajutia kosa hivi na iwe kama unamuandikia Rafiki ako wa kiume mwingine yani unamsimulia tukio lilivyokuwa then humo ndani ya text unasema najutia nakosa yangu coz nampenda mpenzi wangu na ninamalengo nae mengi nitaishije bila yeye etc alafu unamtaja hata jina rafk ako wa kiume then huyo text unatuna makusudi kwa girl kwangu kujifanya umekosea then thank me later...

Sent using Jamii Forums mobile app
Yote ya nini??
Umekosa kama unampenda sana mwombe msamaha nakama hakubali.
Basi sio nyota yako..
 
Ushauri naombeni members wenzangu wa JF.

Habari wakuu, naombeni ushauli wenu wakuu Leo mpenzi wangu amefumania message za mwanamke mwingine ambazo zilikuwa za muda mlefu ameamua kuniacha, nikimtumia message hajibu whtspp message zinatiki anaziona lakini hajibu kila nikituma message za msamaha anaziangalia tuu hajibu mpaka nimechoka sasa, nampenda sana.

Ushauri wenu wenu wakuu nifanyeje anielewe
Asntn.

Sent using Jamii Forums mobile app

Mtumie zile sms za aina hii Imethibitishwa umepokea kiasi cha Tsh -............. kutoka kwa ........salio lako jipya ni......fanya hivyo utakuja kunishukuru maana atakuomba msamaha yeye


Sent using IPhone X
 
Ushauri naombeni members wenzangu wa JF.

Habari wakuu, naombeni ushauli wenu wakuu Leo mpenzi wangu amefumania message za mwanamke mwingine ambazo zilikuwa za muda mlefu ameamua kuniacha, nikimtumia message hajibu whtspp message zinatiki anaziona lakini hajibu kila nikituma message za msamaha anaziangalia tuu hajibu mpaka nimechoka sasa, nampenda sana.

Ushauri wenu wenu wakuu nifanyeje anielewe
Asntn.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni za zamani hakuna ugumu hapo, mweleweshe tuu, kwani yeye ulimkuta bikra?
 
Kitu ufanye kwa ajili yako yote halafu uje kulialia mi nashangaa sana, hakujua kama inaweza tokea akafumaniwa? Hakujiandaa kwa matokeo ambayo yanaweza tokea?
.
.
Babe' hujambo lakini?
Niko poa kabisaa, napambana na corona tu huku kwa makonda ila soon naileta huko ulipo😁
 
Yote ya nini??
Umekosa kama unampenda sana mwombe msamaha nakama hakubali.
Basi sio nyota yako..
yote kwaajili ya kuokoa upendo ujue baada ya usaliti vitu havitakuwa sawa kama zamani so ni bora useme au ufanye hivyo kuliko kukubali kosa hadharani ila chamsingi ni kuavoid kuchepuka tu kama umependa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Fanya yoooote ila usikubali kuwa umechepuka,, mwanaume hata ukutwe kitandani na demu tafuta kila namna ukatae..

Otherwise ukikubali kifala next time atafanya yeye na ukimkuta atasema mbona wewe ulichepuka akakusamehe

Take Care & Thank me later,,,, usisahau ku sanitize kuepuka Corona
 
Ushauri naombeni members wenzangu wa JF.

Habari wakuu, naombeni ushauli wenu wakuu Leo mpenzi wangu amefumania message za mwanamke mwingine ambazo zilikuwa za muda mlefu ameamua kuniacha, nikimtumia message hajibu whtspp message zinatiki anaziona lakini hajibu kila nikituma message za msamaha anaziangalia tuu hajibu mpaka nimechoka sasa, nampenda sana.

Ushauri wenu wenu wakuu nifanyeje anielewe
Asntn.

Sent using Jamii Forums mobile app



Hakua anakupenda tu tokea mwnzo kwaio amepata njia ndio huyoooo ameenda mazima mbona mm juzi nilizifuma message za mapenz na ni current nimemsamehe mda huo huo maisha yanaenda ushaur km yupo karbu mfate huko anakoish umueleweshe ningekua ndo mm hata nicngekuacha as long as umekiri kosa na kuomba msamha wanaume wengne unawafuma na matusi wanakutusi na kukupga na wanakufukuza sasa kumpata wa kuomba msamaha kwa hakika ni jambo la kheri pole kaka ningekua mm ningekusamehe


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom