Mpenz aomba nimgombeze....

Mpenz aomba nimgombeze....

duh! kweli kuna safari ndefu sana ya kumkomboa mwanamke wa ki-TZ kutoka kwenye unyanyasaji wa kijinsia na mfumo dume. sasa huyo anayeomba mwenyewe agombezwe, siku ukimkung'uta atakubali kweli kwenda kukulaza polisi?

kula like hapo mkuu natumia nokia tochi
 
He he he, id yako inajieleza vizuri kabisa, kumbe 'mutahappy' ni mkaka?
Ukiona hivyo ujue keshaanza kukuona zoba na haoni kama uko 'firm'

Kiukweli hapo kakwambia 'Be a man' in a polite way na wewe bado unashangaa shangaa. Utamwagwa sasa hivi.

nami nikajiuliza mkaka anaitwa happy!
 
Back
Top Bottom