Mpenz aomba nimgombeze....

Mpenz aomba nimgombeze....

Yaani!!!! We acha tu!! Juzi kuna mwingine alianzisha uzi mpenziwe hapekui simu yake!!! Pamoja na kuiacha simu yake chumbani makusudi ili aipekue na kutumia namba tofauti kujipigia wakati simu iko chumbani na mupenzi jamaa hakuigusa. Hivyo binti akaja hapa kulalama na eti kuomba ushauri!!!!


mmmmh, wanawake sie sijui tunataka nini! akikaripiwa pia atalalamika siku hizi unanikaripia hunipendi. lol
 
Sisi wa kwa akina Mwita, Chacha, Marwa, Wambura, Mwikwabe, Robhi, Gati na Wankuru, bila kipondo cha nguvu angalao mara 2 kwa wiki haturidhiki kuwa tunapendwa. Ndiyo maana hata wakati wa ndoa huwa mwanaume anakabidhiwa rungu na sime ya "kudumishia ndoa"

khaaa, mna kazi jamani, nina uhakika bila manundu mawili matatu usoni urembo wenu haujakamilika.
 
Yaani!!!! We acha tu!! Juzi kuna mwingine alianzisha uzi mpenziwe hapekui simu yake!!! Pamoja na kuiacha simu yake chumbani makusudi ili aipekue na kutumia namba tofauti kujipigia wakati simu iko chumbani na mupenzi jamaa hakuigusa. Hivyo binti akaja hapa kulalama na eti kuomba ushauri!!!!

lol, sijui wanawapata wapi wapenzi wa hivyo mi nahitaji watatu. lol,
 
Ongeza lugha ya ukali kidogo pale anapokukosea badala ya kuwa polite vinginevyo anaweza kuingia mitini kisa tu, "Mpenzi wangu ni mpole kupita kiasi hata nikimkosea hanigombezi nimeamua kuachana naye."
ha haaa, haya yalitokea kwa mdogo wangu....
alimwacha mtu kisa ni mpole sana. akasema anataka akiolewa ndani kujulikane nani baba, lol!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Yaani!!!! We acha tu!! Juzi kuna mwingine alianzisha uzi mpenziwe hapekui simu yake!!! Pamoja na kuiacha simu yake chumbani makusudi ili aipekue na kutumia namba tofauti kujipigia wakati simu iko chumbani na mupenzi jamaa hakuigusa. Hivyo binti akaja hapa kulalama na eti kuomba ushauri!!!!
malalamishi mengine sasa yamepitiliza.....
sasa mimi nipokee simu ya mtu kwa sababu gani?
naye alikuwa anamtega tu, angepokea moto ungewaka, lol!
 
  • Thanks
Reactions: BAK

hehheeee!!atakua alizoea
wanaume wenye gubu,we mgombeze
tu asije kukumwaga bure!!
 
Jikaze kaka sometimes hawa viumbe wanapenda mchaka mchaka sio tu kwenye 6x6 ila hata kwenye lugha/kauli!!
 
mmmmh, wanawake sie sijui tunataka nini! akikaripiwa pia atalalamika siku hizi unanikaripia hunipendi. lol

Hapana Husninyo wanawake tunataka kupendwa,kuheshimiwa na zaidi ya yote kujaliwa..(jibu la swali tunataka nini)
Ila kweli mwenyewe napenda mwanaume awe kiume,yani awe na say,si ila itu kwake sawa tu yana hata ha question,pale nimekosea yani aoneshe kumindi na kufoka kidogo lakini si sana lakini MWIKO KUNIPIGA.
Kwahiyo si anakua mpolee mpaka anaboa sasa,nikikosea aniseme kidogo na si ila kitu yeye sawa,Baby twende movie anakubali hata kama hana hela yani ashindwe hata kusema Baby kwasas mambo hayapo sawa aogope kunikwaza,anatakiwa awe na say japo asiwe mbabe full mangumi na unisema hata mbele za watu....
 
Dah kwahyosasa hapo biarus uje na maski kutoka home
Sisi wa kwa akina Mwita, Chacha, Marwa, Wambura, Mwikwabe, Robhi, Gati na Wankuru, bila kipondo cha nguvu angalao mara 2 kwa wiki haturidhiki kuwa tunapendwa. Ndiyo maana hata wakati wa ndoa huwa mwanaume anakabidhiwa rungu na sime ya "kudumishia ndoa"
 
Thank you!!! Mie wala sitii neno zaidi :tape: :tape: :tape: lol!!

ha haaa, haya yalitokea kwa mdogo wangu....
alimwacha mtu kisa ni mpole sana. akasema anataka akiolewa ndani kujulikane nani baba, lol!
 
Yaani!!!! We acha tu!! Juzi kuna mwingine alianzisha uzi mpenziwe hapekui simu yake!!! Pamoja na kuiacha simu yake chumbani makusudi ili aipekue na kutumia namba tofauti kujipigia wakati simu iko chumbani na mupenzi jamaa hakuigusa. Hivyo binti akaja hapa kulalama na eti kuomba ushauri!!!!

hahaaaaaa naikumbuka hii lol!!!!!!wengine sim ikishikwa tu

unaanza kuwaza na kuwazua..........JF raha aisee........

btw mbona ulisahau kuchange font na size ya maneno lol!!!maana nikionaga tu najua huyu BAK
 
Last edited by a moderator:
Sio kumgombeza tu! Bali siku akijichanganya MLAMBE HATA MAKOFI MAWILI MATATU ILA YASIWE YA USONI
Wasalaam wanaJf.

Npo kwenye mahusiano na msichana kwa takriban mwaka mzima.
Kiukwel mimi napenda sana polite language and kindness sio kwa mpenz wangu tu hata kwa watu wengine.

Napenda sana kufanya kitu ambacho nikifanyiwa sitaumia na huwa nachukia sana lugha ya ukari na sipend kuitumia hasa kwa mpenz wangu.

Tumekuwa tukikwazana na mpenz wangu lakin mara zote huwa naongea nae kwa upole na upendo na mambo uisha vzri.

Ni kama mara mbili au tatu mpenz wangu amekuwa akiniomba seriously kuwa angalau nimgombeze siku moja akinikosea na atajìsikia raha na kuona nampenda sana.

Kiukwel mimi sipend na siwez. je, nifanyeje
 
LOL!!!! Hahahaha umeshaujua mwandiko wangu 🙂🙂 saa nyingine hii mobile phone inanizingua na ninakuwa sina muda wa kucheza nayo. Huwa natamani nikabamize chini kwa kuniharibia mwandiko LOL!!! Hahahaha

hahaaaaaa naikumbuka hii lol!!!!!!wengine sim ikishikwa tu

unaanza kuwaza na kuwazua..........JF raha aisee........

btw mbona ulisahau kuchange font na size ya maneno lol!!!maana nikionaga tu najua huyu BAK
 
Hapana Husninyo wanawake tunataka kupendwa,kuheshimiwa na zaidi ya yote kujaliwa..(jibu la swali tunataka nini)
Ila kweli mwenyewe napenda mwanaume awe kiume,yani awe na say,si ila itu kwake sawa tu yana hata ha question,pale nimekosea yani aoneshe kumindi na kufoka kidogo lakini si sana lakini MWIKO KUNIPIGA.
Kwahiyo si anakua mpolee mpaka anaboa sasa,nikikosea aniseme kidogo na si ila kitu yeye sawa,Baby twende movie anakubali hata kama hana hela yani ashindwe hata kusema Baby kwasas mambo hayapo sawa aogope kunikwaza,anatakiwa awe na say japo asiwe mbabe full mangumi na unisema hata mbele za watu....
labda nikuulize, unapomkosea mpenzi wako hujui kama umemkosea?
 
anakuona wewe ni dhaifu nyie ni aina ya wanaume mnaokiss women ass .....be rough ....
 
Wasalaam wanaJf.

Npo kwenye mahusiano na msichana kwa takriban mwaka mzima.
Kiukwel mimi napenda sana polite language and kindness sio kwa mpenz wangu tu hata kwa watu wengine.

Napenda sana kufanya kitu ambacho nikifanyiwa sitaumia na huwa nachukia sana lugha ya ukari na sipend kuitumia hasa kwa mpenz wangu.

Tumekuwa tukikwazana na mpenz wangu lakin mara zote huwa naongea nae kwa upole na upendo na mambo uisha vzri.

Ni kama mara mbili au tatu mpenz wangu amekuwa akiniomba seriously kuwa angalau nimgombeze siku moja akinikosea na atajìsikia raha na kuona nampenda sana.

Kiukwel mimi sipend na siwez. je, nifanyeje


Usipomzaba kibao next time anakukosea,hatakuelewa
jifunze kelbu mara moja moja
 
Back
Top Bottom