‘Mpeni Sioi ubunge mumfute machozi’

‘Mpeni Sioi ubunge mumfute machozi’

Kama huyu guta ndo tifa la kesho bora nisifike hiyo kesho,tangu nimjue maneno ya busara aliyowahi kutamka ni yale ya kunukuu kiapo wakati akiapishwa bungeni!
 
I have lost all hope in my country development if the people i depend on are of the like of Lusinde. Eehh Mola tusaidie katika janga hili!
 
Lusinde is stupid. Atasemaje sumari apewe ubunge ili apate mshahara wakuhudumia familia. Anaenda kwa maswala yake binafsi na sio ya jimbo. Ameniudhi na wengine ambao wazazi wote hatuna na hata uwezo hatuna tukagombee wapi ubunge? Nimekasirika sana let him put his $$$$SSS down.

Labda ndiyo hivyo alivyomwangusha Malecela. Lakini anasahau kuwa Arumeru siyo sawa na Mtera.
 
lakini siyoi c ni msomi na alikuwa na ajira yake?sasa ya nini wana arumeru tunyanyasike kwa sababu ya upumbavu?je ccm mbona haiwaongelei yatima wasiojiweza?
 
Labda ndiyo hivyo alivyomwangusha Malecela. Lakini anasahau kuwa Arumeru siyo sawa na Mtera.

Ama Lucinde ametamka hayo maneno ili kumuharibia Sioi au he is simply a stupid man. Whichever way, CCM are better off without this guy especially huko Arumeru. Mrudusheni Dodoma haraka huyo bwana mdogo kabla hajaharibu mambo zaidi.
 
Hii sasa imemuumbua yule Bibi Kiroboto pale Mjengoni kwakuwatangazia Watanzania kuwa eti kuna Wabunge ambao wanahamu ya kuacha Ubunge na kwenda kurudia kazi zao kutokana na kile eti Ubunge haulipi!!!Sasa Lusinde amedhihirisha kua pale bunge unalipa! Shame on you CCM!
 
Hivi nauliza.. Sioi ndo amemuoa Pamela mtoto wa Lowassa??? Je Mtoto wa Lowasa anafanya kazi wapi sasa???
 
Pole sana balozi lusinde,kazi ya mungu haina makosa!
 
kama ubunge unalipa na unatoa pole kwa wafiwa mbona magamab wanajichanganya, Anna nasema hailipi na alipofikia amefilisika sasa huyu mjing anasema unafariji, nyie magamba vipi?
 
Hukuna watu wanaojichanganya kama CCM. Hivi Speaker si alisema wabunge wana mshahara kidogo sana na wengi wao wanataka kuacha ubunge. Sasa ni mshahara upi ambao utaisaidia famili ya Jerry? Nikiwachambua vizuri ni kama hawana akili kabisa. Leo wanasema hili, kesho wanasema kinyume chake, hivi wanafikiri wananchi ni wapumbavu? Majuzi mshahara wa mbunge hautoshi na unakatisha tamaa, leo wanaomba Sioi achaguliwe ili apate mshahara wa kuisaidia familia yake! Kimsingi CCM inahaha. Isipojipanga upya si tu itatolewa kwa kura, bali itakufa kabisa.
 
I've heard so much nonsense in my life, but they weren't as nonsensible as this.

siamini kama Lusinde ni mbunge ...

mtera mpoooooooo.!!!!!

poleni sana,tena sana...huyu ndo alisema wabunge wapimwe akili kabla ya kuingia bungeni...

DISCLAIMER OF OPINION....
 
Jamani sasa CCM si chama chenye huruma kwa wajane na yatima (35+ yrs old nae ni yatima? No wonder anavaa hereni!)
 
Kampeni za namna hii nilipata kusikia mwaka 1985 kule mufindi pale Mungai alipojiita yeye ni 'HUTE' na wengine ni 'VISONZO'.HUTE=BUNDUKI,VISONZO=KIRUNGU.Kwa hiyo Lusinde David alifikiri yupo Mufindi,mtera,igunga na kwingineko ambako civing yao bado ni kichefuchefu kumbe yuko kwa werevu 100%.SASA NA HUKO AJIAPIZE 'CHADEMA IKISHINDA ATAJINYONGA'.KUDADEKI
 
LIVINGSTONE|, hili ni jiwe linaloishi, sasa jiwe unategemea lina akili? nilidhani ujana ni tool ya muhimu sana kimawazo katika siasa, sasa hili jiwe ni hewa, alimng'oa Malecela tukajua angalau damu mpya imeingia kumbe ni boya, yaani yeye aliingia ubunge ili apate hela za kutunza familia yake kule Mtera? pia kumfurahisha JK kwa sababu alimpitisha kugombea?
bure kabisa
 
Niliwahi sema kwamba "huwezi kuwa na akili timamu ukashabikia CCM!!!"
 
Livingstone Lusinde ni mbunge wa CCM jimbo la Mtera
 
Hotuba hii ingefana sana siku ya sikukiu ya R.I.P akili ya Job Lusinde!

Sijashangaa sana personally namfahamu huyu jamaa hana uwezo wa kujenga hoja. Kiasi fulani huwa namfananisha na Mtatiro wa CUF
 
Back
Top Bottom