Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
Michael Edward Kimemeta - baba wa Lulu
na yeye ni mwana JF?
pia naomba swala hili lisichukuliwe kishabiki ama kwa hisia bali haki ichukue mkondo wake"alisema. NAUNGA MKONO HAPA
pia naomba swala hili lisichukuliwe kishabiki ama kwa hisia bali haki ichukue mkondo wakealisema. NAUNGA MKONO HAPA
Lulu alifikishwa mahakamani jana April 11, 2012 akikabiriwa na mashtaka ya mauaji ya Marehemu Steven Kanumba, ikiwa ni siku nne baada ya kifo cha msanii huyo. Alisema kuwa Elizabeth ama Lulu alizaliwa tarehe April 17,1995 katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam, na kwamba alimaliza elimu ya kidato cha nne katika shule ya sekondari ya Midway mwaka jana na kamba hivi sasa ana umri wa miaka 17. Bw Kimemeta alisema kuwa ni vyema polisi kuwa makini katika uchunguzi wao kwa kuzingatia kuwa tukio hilo limejenga chuki na uhasama baina ya Lulu na ndugu, jamaa, marafiki na wapenzi wa marehemu Steven Kanumba. Alisema kuwa kilichomshtusha zaidi ni taarifa za polisi kusema kuwa kulitokea ugomvi kati ya Marehemu Steve Kanumba na Lulu,huku ikitajwa kuwa walikuwa wapenzi.
Just a question. kama baba Lulu ni mwan JF naamini alikuwa akiona picha za mtoto wake huyo anayemuita mdogo
kweli kwa mtu mzima huwezi kutafsiri tabia ya mtoto wako katika picha hizo????
Me sioni kwa nini anashangaa kuskia kuwa alikuwa na uhusiano na Marehemu SK.!! iweje tulio nje tuskie fununu hizo na yeye mzazi awe hajui?? kweli malezi ya remote mabaya!!!!