Acha uchumia tumboHii ni awamu ya sita na ni awamu ya Mhe. Samia Suluhu Hassan.
Zama za JIWE zimepitwa na wakati.
...unamaanisha nini mzee?Mbona bado...JPM ni mstari...wengi hata hamjui kilichotokea...
Huku ndio kujitoa ufahamu...ni zama za Samia...lakini ajenda ni ya Magufuli. Ajenda ya mama inaanza 2025...Hii ni awamu ya sita na ni awamu ya Mhe. Samia Suluhu Hassan.
Zama za JIWE zimepitwa na wakati.
Nimeweka kitu kikubwa Sana hapo...msinibane...unamaanisha nini mzee?
Labda huelewi kwanini mtu anakuwa na mgombea mwenza..."Lengo lake la kuendeleza kutekeleza ajenda ya Magufuli-Samia2020-2025..."
Huo upumbavu hapo juu utawaisha lini nyinyi malimbukeni!!??
Mh. Rais Samia Suluhu Hassan habanwi kutekeleza ajenda ya marehemu au aliye hai yeyote.
Mh. Rais SSH anatekeleza ajenda yake na maono yake ambayo tunaamini yataileta Tanzania ya kabla ya 2015 na kupiga hatua kubwa sana kimaendeleo katika nyanja zote.
Kilichotokea ni kuwa JJPM kazikwaMbona bado...JPM ni mstari...wengi hata hamjui kilichotokea...
Wapi huko?Kuna jamaa akuanzishia uzi kuwa umekimbia jukwaa
Duuuh!!!Labda huelewi kwanini mtu anakuwa na mgombea mwenza...
Nawe muache afanye kazi yake bila kuingiliwa nanyi "self-appointed advisors." Naona mnahaha kweli kubaki relevant lakini ushauri wa bure kwenu ni huu: amkeni na kutambua kuwa zama zenu ziliondoka na Magufuli.Sijui kwanini inaonekana kuna msukumo mkubwa kwa Rais Samia Hassan kufanya hili au kufanya like. Inawezekana katika kuonesha uhuru wake kutoka kivuli cha Magufuli anajaribu kuridhisha makundi mengi. Lengo lake la kuendeleza kutekeleza ajenda ya Magufuli-Samia2020-2025 yeye ndio anajukumu la kuipanga Serikali kwa ajili ya ufanisi, weledi, na matokeo chanya (positive outcome).
Tumpe muda wa kujipanga, na kufanya makosa, na kuyasahihisha. Ikumbukwe hata Katibu Mkuu Kiongozi ni Mpya (ndiye anahusika Sana na teuzi zote za Rais). Shida ni kuwa inawezekana CCM (kama taasisi au vigogo fulani) wanataka watu fulani wakumbukwe. Hili si jipya...la maana isijekuwa wanajaribu kumdhoofisha Rais....hili halikubaliki.
Samia ni Rais Kamili wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania.Huku ndio kujitoa ufahamu...ni zama za Samia...lakini ajenda ni ya Magufuli. Ajenda ya mama inaanza 2025...
we mzee umevurugwa, soon utavua nguo barabarani, eti agenda ya marehemu muuwaji!!!!, pole sanaHuku ndio kujitoa ufahamu...ni zama za Samia...lakini ajenda ni ya Magufuli. Ajenda ya mama inaanza 2025...
wewe ni mlupo.we mzee umevurugwa, soon utavua nguo barabarani, eti agenda ya marehemu muuwaji!!!!, pole sana
By all means lazima utakuwa na uhusiano wa karibu na lilejinga!Mzee chutama ustiri hata robo ya heshima uliyobakia nayo mbele ya wapuuzi wenzio.
Ulikua mpiga mbeta kwa mambo ya kipuuzi kwa Magufuli usimtake Samia awe kama huyo mwendazake.
Tulia zama zimebadilika huo u magufuli-Samia haupo naona unajilazimisha sana hii nchi sio ya kifalme au kifamilia kwamba Samia karithi hizo elements zenu za kishenzi.
By all means lazima utakuwa na uhusiano wa karibu na lilejinga!
Mmea uloupanda ni budi kuupalilia na kisha kuuvuna uzuri.JK yuko pia kazini kumsaidia kupanga